Narudia kuwaambia tena mtapiga lamli bubu hapa mpaka mchanganyikiwe..... Kama mtaendelea kufuta threads za makada.... Na kuacha za Wapingaji hovyo.... Basi mambo nyeti kujua mtabidi msubili.... Ona sasa mnavyosumbuka.... Majina yameshajulikana ila sasa.... Nani awaambie wakati mnafuta nyuzi?
Na ww ni moderator?... Tuambie kwamba hilo jukwaaa ni la threads za chadema tu... Za kupingapinga kila kitu hovyohovyo tuaelewana... Sio jukwaa lenye mawazo huru.. Hapo tutelewa.... Sio threads za chadema ndio zinaexist but za chama tawala zinafutwa kwa kasi....
Ulishaona wapi mtu akahariri...
Yaan humu kuna mambo ya ajabu kweli.... Nilishaacha kushusha nondo zangu humu.... Nimebaki kuangalia tu.... Sasa mtu unaandika vitu.... Afu mtu anakuja kushape na editing za hovyohovyo hapa... Siwezi andika jambo la maana
Nyie bado hamjamwelewa Magufuli,.... Rais anamfahamu vizuri sana huyo dada... Hata toka akiwa mdogo..... Anafahamu vizuri babaake ni former PM wa nchi hii, na hata pension ya mzee wake pamoja na ulinzi anapewa..., huyo dada ni type moja na akina nape ambao wamekua chini ya uangalizi wa CCM...
Ww mdanganye. ... Angalia jukwaa lote kama wako nje ya ushauri wangu.... Unapayuka hovyo unadhani itasaidia jambo...... Dogo shika kile watu wengi wanashauri.....
Acha upumbavu dogo..... Dingi mfanye mshikaji wako.... Hata akienda kula watoto ww mpe....... Utaona utakavyopewa baraka..... Yaan baraka za mzazi acha tu.... Yaan hata mambo yako ya naweza nyooka hata ww bila kujua how..... Sasa ww jifanye unajua maisha....
Ww mwambie baba... Mm napokea kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.