Recent content by Mario Kempes

  1. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania 2021 AFCON Special Thread

    Here we go
  2. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Kuna mchezaji mfupi wa kumzidi Mathieu Valbuena?

    Leo tuwakumbuke wachezaji ambao ni wafupi mno lakini wamewahi kusakata kabumbu vizuri sana, kuna huyu Valbuena, tuendelee na list
  3. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda Tamthilia ya Kombolela iko vizuri

    Kupitia AzamTv kuna tamthilia inaitwa kombolela, iko vizuri sana, mimi sio mpenzi wa tamthilia za Bongo, ila hii ni kali. Inaakisi maisha halisi ya uswahilini, maisha halisi ya Mtanzania wa hali ya chini(Mnyonge). Maisha ya Familia zetu za kiswahili, Baba na Mama wanaishi pamoja na Watoto wao...
  4. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Simba wameanza na kasi kubwa
  5. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    pambano ndio limeanza
  6. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Ushindi mapema sana
  7. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Hilo wasahau
  8. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania FT: Simba 2 Namungo 0. Simba yatinga fainali ya Mapinduzi Cup 2022

    Unapenda kuanzisha nyuzi afu hutoi updates😂
  9. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Usijali
  10. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Here we go
  11. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Je naweza kutumia king'amuzi cha Dstv cha South Africa hapa Tanzania?

    Naombeni wenye kujua mje mnijuze na je malipo ntalipaje nikiwa hapa nyumbani maana nimegundua king'amuzi cha Dstv cha South Africa ni gharama nafuu kulinganisha na hapa kwetu
  12. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Ushindi mapema sana
  13. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Nyota kadhaa wa kikosi cha kwanza cha simba watarejea kwenye kikosi ili kuongeza nguvu kuelekea mtanange huo muhimu
  14. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba Vs Namungo| Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2022| Zanzibar

    Leo majira ya saa mbili na robo usiku kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Simba Vs Namungo katika nusu fainali ya pili ya Mapinduzi Cup. Tujumuike wote hapa muda ukifika
  15. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Simba watambulisha jezi zao mpya kwa ajili ya Mapinduzi na Kombe la Shirikisho

    Uzi mpya huu hapa, big yes or big no?
Back
Top Bottom