Recent content by Maringo mponda

  1. Maringo mponda

    Hatari ya maneno ya Makonda: Asiombe Viongozi wa Dini wafanye maamuzi!

    Ukiachana na kuwa CCM huyo bwana ana point asikilizwe, ni kwamba most of religion leaders ni watu miongoni mwa watawala wa serikali, ndio hoja ya huyu ndugu.
  2. Maringo mponda

    Kikao cha leo kinazungumzia kwanini hujaoa na kwanini huolewi

    Sijaoa kwasababu zifuatazo; 1, sijajiandaa kiakili tulioanbiwa "tuishi nao kwa akili" 2, sijampata wa kuoa mwenye anasifa ninazotaka.
  3. Maringo mponda

    Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya nchi

    Hazijui, ndio maana anataka ABCD ajue
  4. Maringo mponda

    Usije Ulaya

    Kaka we acha tu, nina kaka yangu toka mwaka2001 yuko UK na ni doctor ila hataki kabisa kuskia nasisi tunataka tufike huko kuangalia fulsa
  5. Maringo mponda

    Hizi ndiyo njia rahisi zaidi kuingia Marekani, Ulaya na Asia

    Hii ndio kauli sasa, ni either ufanye ama ufe!
  6. Maringo mponda

    Kama una mpango wa kuzamia Ulaya au Marekani usikurupuke zingantia haya.

    Asante kwa ushauri na maelekezo je, tunafikaje huko?
  7. Maringo mponda

    Hizi ni tabia za kukosa ustaarabu na kishenzi (uncultured) kwa sisi madereva tukiwa barabarani, tubadilike

    Kwakweli halafu unakuta mtu mwingine ame overtake vibaya ghafla anakutana na jam anarudi lane yake ghafla ww unatoka barabarani, ni ushenzi!
Back
Top Bottom