Recent content by marikizz

  1. marikizz

    Niliacha kazi ya kufundisha sababu ya kunuka midomo

    Hiyo ni fangasi ambayo ipo tayari tumboni!tafuta vidonge vya fluconazole kimoja kinauzwa buku tumia kwa siku 30 kila siku unameza kimoja pia na mounth wash utanunua unasukutua mara tatu kwa siku wakati wa kusukutua unaimeza kidogo kwa ajili ya kuua bacteria wa koon na tumboni,jitahidi utanipa...
  2. marikizz

    Document controller is needed

    Naitwa maria kizuri nipo mbezi salasala nina umri wa miaka 27 na nina diploma na uzoefu wa miaka miaka 5,namba yangu ya simu ni 0765107278
  3. marikizz

    Nahitaji Friji milango miwili used

    Laki mbil
  4. marikizz

    Nahitaji Friji milango miwili used

    Nahitaji friji milango miwili used nipo singida isiwe ya mtumba iwe ya special,pliz anaeuza aniuzie
  5. marikizz

    Mliokua DUCE kwenye Usaili wa mchujo wa TPA pitieni hapa

    Hivi baada ya aptitude ni nini kinafuata?
  6. marikizz

    Usaili TPB

    Jamani kama kuna mtu anajua TPB Wameita watu wangapi kwenye usaili wa CREDIT OFFICER GROUP LENDING ANIJUZE,na pia hivi inawezekana ukautwa kwenye usaili wa nafasi ya degree wakati wewe ni diploma ingawaje uliaply ?
  7. marikizz

    Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

    Hf Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
  8. marikizz

    Asali asali asali

    Nauza nusu lita 5000 na lita ni 10000 ni asali mbichi,karibuni nyote ukihitaji ni pm Mikoani pia tunatuma!
  9. marikizz

    Nauza asali mbichi na ni pure from forest

    Jamani wanaasali wengine vipi?
  10. marikizz

    Msaada wa million moja!

    Ww upo wapi na unamtaji wa sh.ngapi?
  11. marikizz

    Msaada wa million moja!

    Ok poa thanx Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
  12. marikizz

    Msaada wa million moja!

    Ok poa nimekuelewa
Back
Top Bottom