Recent content by marijuana

  1. M

    Wizara ya Afya angalieni hizi saluni za kunyolea nywele na maambukizi ya UKIMWI

    Ujinga wako wewe na nitailaumu serika kwa kiasi chake pia labda wazazi wako wangeshurutishwa basi wangekupeleka shule,Au labda mitaala ingekua imara yenye kukidhi demand ya dunia ya leo basi ungekuwa na uelewa tofauti,inawezekana siyo kosa lako pekee,sio wote wanaopenda kufa kwa ujinga wao wa...
  2. M

    Wizara ya Afya angalieni hizi saluni za kunyolea nywele na maambukizi ya UKIMWI

    Yote hayo pamoja na lawama kwa watu wenyewe lakini serikali bado ina mzigo wake pia,watu wakifa kwa kipindupindu serikali lazima iulizwe pia,ndio maana Kuna taratibu hata za usafi,ukusanyaji taka,uchimbwaji mitaro n.k,hata ugawaji wa vyandarua kwa eananchi Au vile vile yote hayo inawezekana Ni...
  3. M

    Wizara ya Afya angalieni hizi saluni za kunyolea nywele na maambukizi ya UKIMWI

    Mbona kwenye kodi watu wanapewa elimu ya kodi na bado usimamizi wa ukusanyaji upo?eti ujinga wako..
  4. M

    Taarifa za awali: Moyo wa Hayati Ndesamburo ulikuwa na matatizo makubwa

    Mh Tanzania hii kazi sana..huvi kwani kujua na kutoa taarifa ya sababu ya kifo cha mtu fulani Ni kumkosea heshima huyo marehemu na familia yake?toka lini? Acheni ujinga wa kuendekeza mambo Bila ya kufikiria kiundani. Hivi kama Kila mtu duniani akiwa na falsafa hizo za oh usitaje sababu ya kifo...
  5. M

    Huyu mama anaendesha basi la kampuni gani Mbeya-Dar?

    Pamoja na ajali zote zinazotokea barabarani,vifo,majeraha na madhara mengine yanayotokana na ujinga huu wa madereva bado Kuna watu kama wewe na wenzako mnaona Ni mambo ya kusupport. Kweli akili Ni nywele..watanzania tuache uvivu wa kufikiri kabla hujapost ujinga tafari kwanza,iwe mwanamke Au...
  6. M

    Leo nimempa Lift Shetani mpaka Mjini, Nashukuru lakini nimepona

    Kwa hiyo ulikuwa unasikiliza radio ya dini halafu dakika chache baadae ukajiskia hamu ya kufanya ngono... Acha hadithi za kitoto
  7. M

    House4Rent Nyumba ya kisasa Inapangishwa bei nzuri Changanyikeni

    Hii nyumba ipo tufanye miamala
  8. M

    Nataka Computer Monitor

    Unaunganisha fresh tu boss nunua cable yake kkoo haizudi elfu kumi
  9. M

    House4Rent Nyumba Ya Kifamilia IPo Kigamboni

    Ndiyoo..hawa watu kisa anajua nyumba ilipo eti kakutafutia nyumba halafu kodi ya mwezi mzima umpe yeye...kama alichangia tofali vile.Na ngoja mtatafuta kazi tofauti za kufanya mambo yanabadilika..
  10. M

    Wanaojua jinsi ya kujiunga na paypal hapa bongo

    Tanzania hata kuwa na sanduku la posta ni issue kubwa.smh...
  11. M

    Wizara Yafafanua; Leo Tanzania Ingeazisha Uhusiano na Makaburu Hata Kama Mandela Akiwa Bado Gerezani

    We jamaa acha hizo bwana umeiona Morocco tu.. In first, Tanzania to open embassy in Israel
  12. M

    Kuna umuhimu wowote kuwa na vipaza sauti misikitini?

    KWANI zile nyimbo za gospo kwa bibi paroko zinazopazwa na ma loud speaker ni kwa ajili ya watu wa kanisani ama?maaana navyo ni kero,kero haswa unapojua mzinzi fulani mshirikana jumapili kashika mic anawazuga kondoo waliopotea eti upako,iweje disco mcheze nyie wengine waatharike na hayo...
  13. M

    Natamani kuwa Mkenya

    tena fanya fasta upeleke makalio huko,mijitu kama nyie ndio mizigo nchini,hata aibu hauna unabwabwaja upuuzi,uliyelaaniwa wewe na wenzio wenye akili kama zako,kweli ushamba mzigo,sasa ukienda kwa mzungu si ndio utataka ugawe nanii ili wakukubali huko?fanya kazi jitume acha kutamani vya...
  14. M

    Housegirl kufanya kazi hadi saa nane za usiku, mshahara 30,000/=, ni haki?

    acha ujinga wewe mtu mzima halafu unaongea fyongo kama umekalia -----,kwanza hamna aliyesema kila housegirl anateswa/ananyanyaswa hayo yako,wewe unajishtukia,watu wamerusha jiwe gizani tu,kama wewe pia ni miongoni mwao wenye mienendo ya kijima na kikabaila kama hii tushakujua,halaf watu kama...
Back
Top Bottom