tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Nimetembelea baadhi ya saluni hapa jijini Dar saluni na kuangalia jinsi wanavyotoa huduma za kukata nywele kwa wanaume na baadhi ya wadada nimeshtuka kidogo.
Nakumbuka huko nyuma wakati wa ufunguaji wa saluni walitakiwa kufuata maelekezo ya hasa namna gani ya kuhakikisha wanawalinda wateja wao na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Lakini nadhani hakuna tena ukaguzi kwa hizo saluni kwa mamlaka husika na kuna watu na uhakika kabisa wanaweza kuwa wanaambukizwa baadhi ya magonjwa ya ngozi hata na damu kupitia mashine za kunyolea nywele na ndevu.
Saluni nilizotembelea hazina kabisa kama mashine kadogo kwa autoclave ambako kanasaidia kuua wadudu baada ya mashine kutumika kwa mtu mmoja.
Sasa niliyoyakuta huko ni kuwa machine inatumika kwa mtu mmoja theni inafutwa na kitambaa then mteja mwingine ananyolewa sijui kama hapo kuna kupona mtu kama yule wa kwanza anaambukizi ya ugonjwa wowote ule wa damu au ngozi.
Nadhani mamlaka husika zipite na kufanya ukaguzi katika hizi saluni kuangalia kinachofanyika otherwise kuna janga la wengi kupata magonjwa ya kuambikizwa bila wao kujua.
Nakumbuka kuna watoto wawili wadogo wa familia moja waliwahi kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa njia ya kunyoa saluni baada ya afya kuanza kuzorota na kuchekiwa wakati wazazi wao hawakuwa na UKIMWI ndipo daktari akauliza kama wanatumia saluni na akasema kuna uwezekano mkubwa wamepata UKIMWI huko saluni.
Ukipitia hapa Africa Health Science ya Makerere Medical School utakutana na baadhi ya wataalam waliofanya study barbeshops n kufikia hitisho hilo hapo chini.
Conclusion
This study has revealed that barbering procedures in Nigeria, particularly in the study area, present the risk for HIV transmission through the use of non-potent disinfectants and improper handling of sharp instruments. The same invasive instruments were used on asymptomatic sero-positive and uninfected individuals. In addition, there were blade-to-scalp contacts in all the sessions.
Therefore, barbers could serve as a potential core group for indirect transmission of HIV in the general population.
This should be of great concern and calls for prompt and target-group oriented interventions. To effectively control HIV/AIDS in Nigeria, a comprehensive approach has to be adopted with the involvement of all relevant sectors and groups. Barbers should not be left out.
It is therefore recommended that enough attention should be given to hygiene practices in barbershops through routine supervision and monitoring by agencies of the government.
In addition, practical-oriented training should be organized for the barbers on equipment decontamination with emphasis on the use of correct procedure and potent decontaminant.
All these can be organized through the barbers' union using peer education' approach.
Nakumbuka huko nyuma wakati wa ufunguaji wa saluni walitakiwa kufuata maelekezo ya hasa namna gani ya kuhakikisha wanawalinda wateja wao na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Lakini nadhani hakuna tena ukaguzi kwa hizo saluni kwa mamlaka husika na kuna watu na uhakika kabisa wanaweza kuwa wanaambukizwa baadhi ya magonjwa ya ngozi hata na damu kupitia mashine za kunyolea nywele na ndevu.
Saluni nilizotembelea hazina kabisa kama mashine kadogo kwa autoclave ambako kanasaidia kuua wadudu baada ya mashine kutumika kwa mtu mmoja.
Sasa niliyoyakuta huko ni kuwa machine inatumika kwa mtu mmoja theni inafutwa na kitambaa then mteja mwingine ananyolewa sijui kama hapo kuna kupona mtu kama yule wa kwanza anaambukizi ya ugonjwa wowote ule wa damu au ngozi.
Nadhani mamlaka husika zipite na kufanya ukaguzi katika hizi saluni kuangalia kinachofanyika otherwise kuna janga la wengi kupata magonjwa ya kuambikizwa bila wao kujua.
Nakumbuka kuna watoto wawili wadogo wa familia moja waliwahi kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa njia ya kunyoa saluni baada ya afya kuanza kuzorota na kuchekiwa wakati wazazi wao hawakuwa na UKIMWI ndipo daktari akauliza kama wanatumia saluni na akasema kuna uwezekano mkubwa wamepata UKIMWI huko saluni.
Ukipitia hapa Africa Health Science ya Makerere Medical School utakutana na baadhi ya wataalam waliofanya study barbeshops n kufikia hitisho hilo hapo chini.
Conclusion
This study has revealed that barbering procedures in Nigeria, particularly in the study area, present the risk for HIV transmission through the use of non-potent disinfectants and improper handling of sharp instruments. The same invasive instruments were used on asymptomatic sero-positive and uninfected individuals. In addition, there were blade-to-scalp contacts in all the sessions.
Therefore, barbers could serve as a potential core group for indirect transmission of HIV in the general population.
This should be of great concern and calls for prompt and target-group oriented interventions. To effectively control HIV/AIDS in Nigeria, a comprehensive approach has to be adopted with the involvement of all relevant sectors and groups. Barbers should not be left out.
It is therefore recommended that enough attention should be given to hygiene practices in barbershops through routine supervision and monitoring by agencies of the government.
In addition, practical-oriented training should be organized for the barbers on equipment decontamination with emphasis on the use of correct procedure and potent decontaminant.
All these can be organized through the barbers' union using peer education' approach.