Karibu ndg ujiunge nami ktk kujiajiri kwa kutumia mtaji mdogo wa sh elfu26000 tu,na utaweza kujiingizia kipato kikubwa kwa muda mfupi baada ya kupewa mbinu na mafunzo yatakayo kuwezesha kujua na kufahamu namna ya kufanya biashara hii.unaingia ubia na kampuni kwa kias kidogo cha 26000 baada ya...
mh!jamani maisha ni balaa,kumbe kaz ni kla k2 ndg zangu hasa kwass masikin,mwenzenu ninamalza sasa mwaka wa 3cna kaz nshafanya application zaid ya mia,nimeambulia tu written inaishia hapo,nliwah kupewa interview moja na recruiter fulan hv kesho yake nka2miwa email nimepta nisubir maelekezo...
ndg yangu temmbo umetoa very wise idea,name nipo kwenye janga la ajira,nina degree nmemalza chuo 2012 cjawah hta kupata kaz yyote kwenye cv kumetawaliwa na education background na field,sasa naomba unisaidie jinsi gan najkta kwenye ualmu angalau unisaidie manake umr unazd kwenda ajira hakuna...
habar zenu wana-jf?mm ni kat ya walioitwa kwa interview muhas kwenye kada fulan,ila kuna m2 amenkatsha tamaa sana kwa kuniambia 2naenda kuuza sura wkt nafas zina watu tayar,akanipa mfano ktk kada za administrative officer jina namba tisa(ctaltaja labda mwenye kupenda akaptie)akasema unadhan jina...
hongera!me ushauri ni hv,angalia post ambayo una xperience zaidi yan inayofit ur qualification kupta nyngne na ambayo unatambua una uwezo wa kuitendea hak kwa kujbu vzur maswali
Habari zenu wana jf?naomba kufahamishwa kuhusu muda wa usaili tbs,wametumia muda wa kiswahili ama kingereza,mfano;kada ya human resources officers muda ni 6-7.30 je wanamanisha sakum na mbil-mja na nusu ama sa6mchan-saba na nusu?naomba mnisaidie inanichanganya plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.