Kumekuwepo na idadi kubwa ya abiria wanaopanda magari ya mwendo kasi katika kituo cha Kimara majira ya asubuhi,Kivukoni na Gerezani majira ya jioni.
Wingi wa abiria ulazimu abiria kutumia nguvu nyingi kupanda usafiri lakini pia taadhari ya kiusalama miongoni mwa abiria hukosekana jambo...
Ingefanyika editing pia watu wangehoji alihojiwa lini,dk 45 ilifanyiwa promo kwa wiki sasa na baadhi ya maneno ya Eng. Yalishasikika hivyo leo kufanya editing ni sawa na kuyafanya mahojiano yaonekane kama ni ya leo .
Chamsingi ni ujumbe ndani ya alichokiongelea ikiwemo vision yake . Lakini pia...
Sijui ulipita lini airport maana kwa sasa ndani ya uwanja kuna bank ambapo malipo yote ulipwa bank na mteja
Lakini jambo la Pili malipo ya VISA ufanyika kwa USD katika vituo vyote vya kuingia na kutoka na hata katika ofisi za Ubalozi
Ninavyoelewa kila Mgeni anayelipa visa recept number ya...
Mwaka 2015 TANESCO kwa kushirikaiana na REA waliwaunganishia umeme wakazi wengi wa wilaya ya Arumeru waliomba na kulipia gharama za kuunganisha umeme.
Mwezi October na November mita nyingi za umeme ziliripotiwa kuwa mbovu au zenye itilafu jambo lililosababisha watendaji wa REA na TANESCO...
Kushuka na kupanda kwa makusanyo ya serikali ni jambo la kawaida,tunapaswa kujielekeza zaidi kuzifahamu sababu zilizopelekea kupanda November to December na kuziangalia zilizopelekea kushuka January to February.
Kuna taarifa za kupungua kwa wateja wanaotumia bandari yetu ya DSM ambayo ni moja ya...
Kulingana na maoni ya wengi katika Uzi huu ni kwamba watanzania tunawafahamu waalifu walipo na hatuna ujasiri wa kushirikiana na taasisi zetu kuhakikisha wanakamatwa,
Nikichukua mfano wa Coca cola kwanza mikocheni na Lake oil Kibaha- yaonyesha watu wanajua maali waalifu walipojificha au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.