Imefikia pahala, kubemb eleza sana sio sawa. Nakumbuka insider alisema mtoto anaumwa, Kwa asiyena familia ya watoto,hataelewa. Inakunyima Raha mtoto akiwa hoi. Sisi wanywa chang'aa tunakaa tunatepeta, tunamwagika, tunanyoooka, tunayoyomea, tunawangika,tunambumbuika, tunanyongoroka, tunapoa...