Hello mambers kama una mfumo , website au App unayo hitaji kuifanyia intergration ya malipo ya moja ya API mojawapo nio itaja hapo juu basi karibu sana
PUSH USSD and automatic payme kwenye site kama e commerce na services
Habari za leo wandugu kijana wenu nime rudi ,
Nina mifumo mingi y kutunza rekodi za biashara kama
Mining Ofice management office
Spare Store Management Systerm
Loan Ofice Managenent System
POS for supermarket and all size shop
Nakadhalka
Je unahitaji mfumo wowote ambahaupo hapo na una miss...
Swali linasema find the value of x
Alicho fanya marcoveratti ni kwamba katafuta value ya x ambayo kapata 8 ,
Kicha kaonesha namba nane ni jibu sahihi kwa kuichukua hiyo 8 na kuipachika kwenye kila sehem yenye x ili kuona je LHS itakua sawa na RHS ,
na ime kuja baada ya kuweka 8 kma ndio value...
Habari ya leo wakuu,
Baada ya kuachana na mwanamke ambae kwa muda mrefu ndio nilikua nampigia hesabu za kumuoa, nimekuwa na tatizo kubwa sana kutoamini wanawake.
Hata pale ninapojilazimisha bado najikuta simuamini, hali hii inepelekea kutofanikiwa kwa mahusiano yote yaliokuja baada ya hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.