Recent content by Marcovicsavic

  1. Marcovicsavic

    Kupoteza imani kwenye mapenzi kunatibika vipi?

    Silazimishi ila kuna wengine walinstahili kuwaamini na nikashindwa , mpaka na wao wanashindwa sababu ya kuona hawaaminiki no mater what ,
  2. Marcovicsavic

    Kupoteza imani kwenye mapenzi kunatibika vipi?

    Huwezi kujua ukubwa wa tatizo hadi likupate , so nawaelewa wanao keheri, i hope hauta pitia kikombe hiki
  3. Marcovicsavic

    Kupoteza imani kwenye mapenzi kunatibika vipi?

    Pesa , sidhani kama nina tatizo na pesa , najitaji kua na mtu amabe nita muamini tujenge family , a man without family ni forest bila liver
  4. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Daah jamaa angu ulisoma kweli hesabu ? Mbona concept simple sana wewe una jichanganya kiasi hicho?
  5. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Kati ya 3.2829 na 8 lipi jibu sahihi zaidibkwa mtazamo wako?
  6. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Swali linasema find the value of x Alicho fanya marcoveratti ni kwamba katafuta value ya x ambayo kapata 8 , Kicha kaonesha namba nane ni jibu sahihi kwa kuichukua hiyo 8 na kuipachika kwenye kila sehem yenye x ili kuona je LHS itakua sawa na RHS , na ime kuja baada ya kuweka 8 kma ndio value...
  7. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Duh em tazama vema boss Inaoneka u r missing the point , hapo , pay good attention utaelewa
  8. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Alicho kifanya hapi ni kutoa jibu nankuli prove sioni kama katunga swal
  9. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Hahaha na wamegoma kukubari ukilaza wapewe njia
  10. Marcovicsavic

    Kupoteza imani kwenye mapenzi kunatibika vipi?

    Habari ya leo wakuu, Baada ya kuachana na mwanamke ambae kwa muda mrefu ndio nilikua nampigia hesabu za kumuoa, nimekuwa na tatizo kubwa sana kutoamini wanawake. Hata pale ninapojilazimisha bado najikuta simuamini, hali hii inepelekea kutofanikiwa kwa mahusiano yote yaliokuja baada ya hapo...
  11. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    So wewe ukiweka 2 kwenye sehem za x unapata LHS = RHS si ndio?
  12. Marcovicsavic

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Mpaka sasa walio toa solution yenye mashiko ni wale walio tumia graph. Licha ya kwamba bado hawajapata jibu
Back
Top Bottom