Marcovicsavic
Senior Member
- Nov 14, 2020
- 132
- 308
Habari ya leo wakuu,
Baada ya kuachana na mwanamke ambae kwa muda mrefu ndio nilikua nampigia hesabu za kumuoa, nimekuwa na tatizo kubwa sana kutoamini wanawake.
Hata pale ninapojilazimisha bado najikuta simuamini, hali hii inepelekea kutofanikiwa kwa mahusiano yote yaliokuja baada ya hapo.
Inanisikitisha siwezi kujisaidia kwenye hili, wale wajuzi wa mambo nawezaje kuamini mwanamke tena?
Baada ya kuachana na mwanamke ambae kwa muda mrefu ndio nilikua nampigia hesabu za kumuoa, nimekuwa na tatizo kubwa sana kutoamini wanawake.
Hata pale ninapojilazimisha bado najikuta simuamini, hali hii inepelekea kutofanikiwa kwa mahusiano yote yaliokuja baada ya hapo.
Inanisikitisha siwezi kujisaidia kwenye hili, wale wajuzi wa mambo nawezaje kuamini mwanamke tena?