Niwakumbushe tu Russia hajawahi kuacha op au vita njiani pale Chechnya kapigana miaka 10 1999_2009 mbaka wahuni wakasanda Georgia alikubali yaishe akachia majimbo mawili .Finland alitoa 10%ya ardhi bado huyu Ukraine anajitia mgumu saiz watakuja wenyewe tu mezani .
Wizara ya ulinzi ya urusi imetoa saa 24 kufikia kesho June 15 wanajeshi Wa Ukraine waweke silaha chini na kujisalimisha.
Ikumbukwe Hawa wanajeshi wanawashikilia raia 800 katika kiwanda na urusi kashalipua madaraja matatu yaliyokuwa yanaingia severedonetsk.
Kujisalimisha kwa wanajeshi Hawa...
Baada ya ugiriki kukamata meli ya mafuta ya Iran na kumkabidhi USA.
Iran imejibu mapigo kwa kukamata meli mbili za ugiriki ambazo zilibeba mafuta katika ghuba ya uajemi.
Ugiriki yalaani vikali Iran kukamata meli zake kupitia balozi wake.
Source: DW
Rais wa Urusi Vladimir Putin kawashika vibaya nchi za Ulaya waanza kulia njaa baada ya Putin kufunga port za usafirishaji wa nafaka.
Ikumbukwe Ukraine pamoja na Urusi ni wazalishaji wa kubwa Wa nafaka na Urusi amekataza kuuza nafaka zake pia zile za Ukraine. UN waingilia kati Umoja wa Mataifa...
vijana fanyeni kazi acheni kubishana na vitu ambayvo haviwasadii duniani hakuna haki wapo sahara magharibi wamechukuliwa ardhi yao wanaishii kwenye makambi kuna west Papua,Ukraine, nchi nyingi tu kifupi ukipoteza ardhi kwenye vita huwa hairudi tena hiyo unatakiwa kuichukua kwa vita tena.
wanaweka vikwazo ambavyo havina madhara mala wamekea vikwazo watu maarufu na bank wanamjua vizuri jamaa haongei sana ni action tuu bado uk kanajiona sana hakajwahi kuvamiwa pale kisiwan kameshikilia Mali za raia wa urusi.
aongeee lugha moja ieleweke sio kuchanganya hivyo umewahi kuona mzungu anachanganya lugha kama ni kiswahili atazungumza kiswahili bila kuchanganya sasa mleta mada bado ana kasumba za ukoloni anajiona akizungumza hivyo ataonekana msomi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.