Recent content by Marathon day

  1. Marathon day

    Unadhani kwanini MC Pilipili aliuawa na sasa ripoti ya Mauaji yake haijatoka?

    Walimuua na wakampeleka Kwa ndg zake hii sio mchezo, ngoja tukae kimnya yanawezabkuibukia mbeleni huko
  2. Marathon day

    Baba Levo: Nilinunua nguo Uturuki, nikapita Dubai Airport sikudaiwa, Tanzania nikaambiwa nilipe ushuru wa nguo za watoto wangu

    Dubai ilikua ni transit tu kuja nchini kwako, so ukifika nchini kwako watakagua vitu vinavyoruhusiwa kupita free, vinavyozidi unalipia ushuru. Huyu pimbi halijui hili? Alidhani akinunua nguo za watoto wake bag nzima atapita navyo free?
  3. Marathon day

    Nzi wanalalaga wapi usiku? Mbona mchana ni wengi lakini usiku sioni wanapolala?

    Ungeuliza nabu wanashinda wapi mchana mbona hawaonekani mchana?
  4. Marathon day

    Ajali: Daladala lagonga kingo za barabara na kusababisha vifo

    Poleni wafiwa, na maombi Kwa majeruhi wapone haraka
  5. Marathon day

    Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

    Kard za pikpik ni rahisi te new, ukaonyeshwa OG, ukicheck YRAni OG, kumbe kpkp iliibiwa na mausji yamefanyika. Na ukute Ina tafutwa kimnya kimnya. Unajiingizr kwenye matatizo Kwa 1 m
  6. Marathon day

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Lowasa ni Mmassi, na Sumaye ni Muirak. Elimu na pesa ni vitu tofaiti. Umesahau wasanii ndio kipindi chao hiki kutumika kwenye kampeni?
  7. Marathon day

    Azam mnatusumbua wateja wenu na hii Azam max yenu

    Ukiunganisha kwenye PC inasumbua sana, mm nimejaribu napata Chanel chache za Azam sipati kabisa wakati king'amuzi nimelipia full package. Nimeongea na customer care weweee lakini wapi, inaonekana hata wao bado uelewa ni mdogo
  8. Marathon day

    Azam mnatusumbua wateja wenu na hii Azam max yenu

    Habari za jioni, Jana nimetembelea Azam Mgodi. Nikaona nijisajili na Azam Max ili angalau habari muhimu zisinipite kwenye kipindi hiki Cha uchaguzi, niwe naperuzi na kufatilia taarifa nikiwa popote nje ya nyumbani. Adha ninayoipata najuta kutumia mda wangu kufika Mgodini na kumaliza bando...
  9. Marathon day

    KERO Kampuni Ya Mabasi ABC upper class Mnakera Sana

    Nakazia, SBC sasahivi wsnaboa sana, soon hii campuni inaenda kupotea
  10. Marathon day

    KERO Kampuni Ya Mabasi ABC upper class Mnakera Sana

    Ndg kutwa nzima uko kwenye bus ule biscuits? Let's say inatoka saa 8 mchana, unakuja kufika saa 4 asubuhi.
Back
Top Bottom