Baada ya kunywa na kufanya kitendo, unalipia 1 Milioni, kesho imekufa Tena, au inamwendelezo? Na swali la kizushi, hiyo dawa ni mitishamba au dawa za kizungu? Side infect yake pia ni muhimu Kujua kabla ya matumizi
Kibonde alikua "TUNGI" mzoefu tu, hakuwa na lolote, ila mke wake alikuwa na mawe hasa, yeye na familia Yao wote walikuwa vizuri. Mpaka anafariki walikuwa wamepanga maeneo ya External Ubungo
Baba yake na Kibonde alikuwa Operation Manager TPA, Mke wa Kibonde Wazazi wake ni watu wenye uwezo sana, wanashindwaje kuwasaidia hao wajukuu? Ikumbukwe Mke wa Kibonde alifariki kabla ya Kibonde kumfuata(kufariki)
Wote hao wajita na wakerewe Vis--mi vyao ni virefu kama hujuibkucheza navyo utachapiwa mpaka ukome, pamoja na hayo wengi ni Malaya sanaa! Kudumu na mume mmoja ni shida kwao. Kama mbali nao
Nilishajaribu kudownlod , tatizo kwenye HALOTEL app watadai password ambayo inatumwa kwenye line ya m2m, utapataje password Ili uthibitishe? Kumbuka msg haiwezi kuja kwenye number hiyo ya line ya M2M
Ndg zangu tuwe makini na hizi line za HALOTEL za m2m, wakishakusajili unaweza angalia balance vizuri.
Baada ya week moja ukitaka kuangalia salio hupati majibu. Hapo ni either uwapigie customer care au ushituke tu bando limekata.
Niliweka bando la 15,000/ Kwa 18GB mwezi. Matokeo yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.