Dubai ilikua ni transit tu kuja nchini kwako, so ukifika nchini kwako watakagua vitu vinavyoruhusiwa kupita free, vinavyozidi unalipia ushuru. Huyu pimbi halijui hili? Alidhani akinunua nguo za watoto wake bag nzima atapita navyo free?
Kard za pikpik ni rahisi te new, ukaonyeshwa OG, ukicheck YRAni OG, kumbe kpkp iliibiwa na mausji yamefanyika. Na ukute Ina tafutwa kimnya kimnya. Unajiingizr kwenye matatizo Kwa 1 m
Ukiunganisha kwenye PC inasumbua sana, mm nimejaribu napata Chanel chache za Azam sipati kabisa wakati king'amuzi nimelipia full package. Nimeongea na customer care weweee lakini wapi, inaonekana hata wao bado uelewa ni mdogo
Habari za jioni,
Jana nimetembelea Azam Mgodi. Nikaona nijisajili na Azam Max ili angalau habari muhimu zisinipite kwenye kipindi hiki Cha uchaguzi, niwe naperuzi na kufatilia taarifa nikiwa popote nje ya nyumbani. Adha ninayoipata najuta kutumia mda wangu kufika Mgodini na kumaliza bando...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.