Huyunilikua namuona anzo kdg kichwani, lakini tangia aingie upande ule amekua bogaz kweli, kusifia tuu hana hoja za maana, hivi upande ule kunanini? Mbona kila aliekule ufahamu unakua zero kichwani?
Mwendazake alituletea wabunge wa hovyohovyo kweli, shime wananchi tutumie vizuri sanduku la kura kutuletea wabunge wenye hoja za mashiko na tija kwa maendeleo ya majimboni, wananchi wanamahitaji makubwa zaidi ya hizo hoja
Huyu Gambo inaonekana bado utoto haujamuiaha, nilimsikiliza , anahojiwa mpaka anatetemeka, haelewani na kila mtu huko Arusha, kiburi kingi, kujifanya mjuaji sana, naamini hata kwenye mchujo wa CCM hatapita, na uteuzi kwa mama asahau, Utoto mwingi
Kimara kwenye kupanda hata upange foleni kusukumana kama kawa, watu wanaacha viatu, mabegi, mikoba mpaka simu kwa kusukumana, wangeweka bomba kwenye eneo la kuingia kwenye mabasi ili kuondoa fujo za watu wasiofata mtiririko wa foleni ya kuingia kwenye mabasi, hasa Kimara asu uhi ni shida sana
Hutakiwi kubandua, unatakiwa kurudi kwenye macamuni yanayotoa hizo number, nenda na card yako ya gari na number ulizoziharibu, utalipia 30,000. Na kupewa number mpya zenue viwango, hizo ulizozibandua kisheria hazisomeki.
Mimi kilio changu wasajili daladala mbadala wa mwendo kasi, ziwe kwenye ruti ya mbezi kivukoni via morogoro road, mbezi kariakoo via morogoro road, hii njia ukiacha mwendo kasi ambayo imefeli ni adha tupu, ndio imejaza hivi vibajaji na pkpk, kuwe na rout hizo kuisaidia BRT ambayo imezidiwa. Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.