Recent content by Marashi

  1. Marashi

    UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

    Maharage chande na yule dogo wa Bandari ni watu waliowekwa kwenye u CEO kwa bahati mbaya. Hawana sifa utendaji wao ni wakujiumauma. Hata posta alikoenda Maharage hana atakalofanya. Hafai.
  2. Marashi

    Medard Kalemani & Tito Mwinuka: Collaboration Iliyoongoza TANESCO kwa Mafanikio Makubwa

    Kalemani alikua analeta mzaha sawa na yule wa cherehani nne ni kiwanda. Kalemani anasema kijiji kikipitiwa na nguzo za umeme....hadi ule wa grid...anahesabu tayari kinao umeme alipobanwa na Kamati akasingizia kwa tafsiri ya tanesco kijiji kilichopitiwa na nguxo tayari kinaumeme ila wananchi...
  3. Marashi

    Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

    Mdude tulia uvamiwe ...si unasema umevuka?
  4. Marashi

    UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

    Nchi haina watu? Ivi Chande ni mru serious wa kumoa dude kama TANESCO kweli??? Ndo maana tunachekwa sana
  5. Marashi

    Medard Kalemani & Tito Mwinuka: Collaboration Iliyoongoza TANESCO kwa Mafanikio Makubwa

    Kalemani mpishi wa takwimu aliyesema serikali ya magufuli imepeleka umeme vijiji 13,000 wakat tanzania inavijiji 11,000
  6. Marashi

    TV4Sale Nauza TV kwa bei za store

    Bajeti ya 900,000 napata TV gan? Nipe specs zake
  7. Marashi

    Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

    Wazee wa kununua gazeti jioni yenu hii
  8. Marashi

    Baada ya kufuatilia uendaji wa chooni wa huyu dada muuza mgahawa, nimejiapiza sili tena migahawa ya uswahilini

    Mtu na akili timamu anategemea kweli elfu 2 itamoatia mlo? Serious???
  9. Marashi

    Kuna namna Rage alikuwa sawa

    Hersi anatumia yanga kujijenga kifala sana
  10. Marashi

    Nina maswali kadhaa kuhusu mwenge

    Mwenge ni kiini macho cha Serikali kwa raia wapumbav
  11. Marashi

    Naomba kujua mchanganuo wa matumizi ya watoto hasa mahakamani

    Hakuna formula maalum, ni wewe tu utakavyokaa na muheshimiwa
  12. Marashi

    Biashara ya uuzaji na ununuzi wa madini kwa mfanyabiashara mdogo

    Muhimu umuone kalumanzila kabla ya kuanza hiyo biashara vinginevyo madini yatakua yanapotelea mfukoni kimzaha
Back
Top Bottom