Maharage chande na yule dogo wa Bandari ni watu waliowekwa kwenye u CEO kwa bahati mbaya.
Hawana sifa utendaji wao ni wakujiumauma. Hata posta alikoenda Maharage hana atakalofanya.
Hafai.
Kalemani alikua analeta mzaha sawa na yule wa cherehani nne ni kiwanda.
Kalemani anasema kijiji kikipitiwa na nguzo za umeme....hadi ule wa grid...anahesabu tayari kinao umeme alipobanwa na Kamati akasingizia kwa tafsiri ya tanesco kijiji kilichopitiwa na nguxo tayari kinaumeme ila wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.