Recent content by marashi ya pwani

  1. marashi ya pwani

    Oya brother acha uzuzu, hizi pigo zita kuzingua

    Ninachowapendea hawana maneno mengi pesa Yako tu
  2. marashi ya pwani

    PreGE2025 Professor Jay: Watanzania kumshambulia AY kwa kuonekana kwenye majukwaa ya CCM sio sawa. Wasanii wengi pia wapo CHADEMA

    Mimi ccm damu Nimemuelewa mzee wa mitulinga anajiwekea ulinzi asije akasemwa kama ay Karibu profesa
  3. marashi ya pwani

    Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

    Kuna kamshindo Cha mil 2.8 nilipiga nikanunua boda ya mil 1.5 ingine nikafanya maendeleo mengine Miezi 2 na siku jamaa yangu hakuna Salaam full minuno Mpaka chombo ilipodandiwa na Mali asili ndio tunasalimiana
  4. marashi ya pwani

    Chama tawala na upinzani haviwezi kuwa na ushabiki kama wa Simba na Yanga?

    Kama hutuwezi kuvumiliana katika hili basi hakuna haja ya kuwa na vyama vingi Shabiki wa YANGA na Simba wanapata huduma sawa na hakuna kati Yao anaeoneka si BINADAMU sahihi Lakini Leo inafikia hatua ukiwa chama Cha upinzani unaonekana mpinga maendeleo mleta vita mtu usie stahili katika jamii...
  5. marashi ya pwani

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Unaweza ukacheji upata tsh?
  6. marashi ya pwani

    Sijui kuwa kuna pombe halamu na halali!

    Acha uongo pombe pombe tu na ni Haram pia
Back
Top Bottom