Kuna kamshindo Cha mil 2.8 nilipiga nikanunua boda ya mil 1.5 ingine nikafanya maendeleo mengine
Miezi 2 na siku jamaa yangu hakuna Salaam full minuno
Mpaka chombo ilipodandiwa na Mali asili ndio tunasalimiana
Kama hutuwezi kuvumiliana katika hili basi hakuna haja ya kuwa na vyama vingi
Shabiki wa YANGA na Simba wanapata huduma sawa na hakuna kati Yao anaeoneka si BINADAMU sahihi
Lakini Leo inafikia hatua ukiwa chama Cha upinzani unaonekana mpinga maendeleo mleta vita mtu usie stahili katika jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.