Recent content by marangu president

  1. M

    TBS kimenuka interview

    alafu unajiita tanzania halisi! kwa nn usijiite pumbuani halisi! akili zako ni sawa na urefu wa pua yako!
  2. M

    AJIRA 200 zilizotolewa Uhamiaji zasitishwa ili kupisha uchunguzi

    kaka mpe huyo we unafikiri kuitwa watu elfu 20 then wengine wakaenda taifa kama kuna mech ya yanga na mtibwa sugar ulifikir raha! jaman bora mmejionea majina na mandgu zao wa huko! ee mungu nani kama ww mungu udhalimu huu mpaka lini! wahukumu na moto wako wa jehanam wanaoonea wanyonge wasiokuwa...
  3. M

    Nahitaji Fundi Bomba na Umeme

    jamani kiboko ya wote ni simon ngowi chini ya kampun ya nadhra construction jamaa amefanya mikoa kibao na sasa hivi yupo maeneo ya air port ndo anamalizia mradi wa kampun kesho. mchek kupitia 0714822109
  4. M

    Marangu Mtoni: House boy amuua mtoto wa bosi wake na kula ubongo wake

    mtoto sio wa mwana ndio ni mtoto wa urasa. ila urasa ndo alikuwa anafanya kazi maeneo alipokuwa anafanyia mwana ndio zaman. tatizo marangu sijui ni hivi viroba + bangi, kila siku pombe mpya zinazalishwa marangu, serikali nayo ipo kimyaa ndo hiz sasa hazina hata tbs mtu akinywa zinamtuma afanye...
  5. M

    Anahitajika mtu wa Sales and Marketing

    hata hapajulikani wakubwa au ndo wale jamaa wanaoijiitaga kampun mpya toka kanada ukienda unakuta vyombo aina zote wakuu train cku mbili ya tatu kazi unaanza..
  6. M

    Kiasi cha Mishahara ngazi mbalimbali TRA

    naomba kuuliza kwani wameshaita!
Back
Top Bottom