Recent content by maranduhussein

  1. maranduhussein

    Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah

    Huu upumbavu sijui mnautoa wapi,tatizo mnaishi kwenye giza la kiakili na mmefunikwa na blanketi la kufikirishwa na kuvizwa akili hadi mkawa mazuzu.Pole yako na chuki zako
  2. maranduhussein

    Israel ni taifa teule na hata Quran imekiri hivyo, baadhi ya upendeleo kwa macho yetu tunauona

    Ni uamuzi wako ila wenye akili watajiuliza kama akili yako ni nzima au ni uendawazimu unaokusumbua
  3. maranduhussein

    Kwanini 50% ya Raia wa Iran wamefurahia na hadi Kukufuru kabisa Kifo cha Rais wao Raisi?

    Eti 50%,kwa takwimu zipi?Acheni kutumimia madola ajnabi ya Magharibi na vyombo vyao vya habari. Mtawadanganya wajinga wasioelewa dunia inavyokwenda na siasa zake.
  4. maranduhussein

    Ebrahim Raisi, mchinjaji wa Tehran(The Butcher of Tehran) atakayekumbukwa kwa madhila mengi na makubwa

    Tatizo lako ni ushabiki ulioshindiliwa na kuoshwa akili yako ambayo imekubali kila inacholishwa.Laiti ungetulia na kufikiri kidogo ungeelewa.SOMA NDUGU YANGU ACHA USHENZI WAKO.Siku moja mdomo wako unaocheka sasa utafungwa na huyo Allah Tabaraka(au ni Yesu nini?),mikono yako itakosa nguvu za...
  5. maranduhussein

    Ebrahim Raisi, mchinjaji wa Tehran(The Butcher of Tehran) atakayekumbukwa kwa madhila mengi na makubwa

    Mshenzi mkubwa ww Huna unachojua ila matusi na chuki,umekua brain washed na western propaganda,husikii wala huoni.Kwan tatizo liko wapi Ww subiria pepo yako atakayokupa Yesu na mm nisubirie mabira 72.otherwise shut ur bakuli and learn to be a great thinker
  6. maranduhussein

    Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

    Ni kweli kabisa mkuu,wanawake wengi wakishaolewa hujisahau sana na kudhani wamwmaliza kila kitu kumbe mambo baaaado kabisa ndiyo kazi ya kupalilia mapenz na kuyaenzi inaanza.Wanawake ni lazima wabadilike kabla hawajachelea.
  7. maranduhussein

    Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Kweli akili yako kina kirefu tena kina kirefu cha Ibilisi mlaaniwa. Nani kakuambia kula nguruwe ni sunna?Huo ni ushetani unaofuatwa na hao akina Konde na Simba
  8. maranduhussein

    Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

    Tumia ubongo acha kua mpumbavu tupe ushahidi wa haya uliyoyaandika.Acha kufikirishwa na chuki zako kwa Binadamu anayeheshimika na Binadamu zaidi ya billion moja kote dunian. NI KWANINI NYIE WAKRISTU MUNAMCHUKIA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD(Rehma na Amani ziwe juu yake na kizazi chake kitoharifu) kwa...
  9. maranduhussein

    Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

    Haya wewe mwenye akili mpya asokua chakavu unajua nn zaidi ya kula kila unacholishwa.Tunawajua Wakristu hawawapendi Waislam na sio tu kwamba hawawapendi wana chuki haswaaa na Waislam.Sijui kwaninin!!!Halafu kila anachoambiwa na Padri,Mchungaji au Muinjilist wake kwake ni sheria.Hao ndio wenye...
  10. maranduhussein

    Wanajeshi 16 waungua moto hadi kufa Gaza

    Mkuu wenzetu hawa akili zao zimeenda likizo,kwao Israel ni upande wa Mungu na Palestina ni upande wa Shetani.
  11. maranduhussein

    Iran yawageuka HAMAS, wapambane na hali yao maana walilianzisha bila kuiomba ushauri kwanza

    Baadhi ya Wakristu wasiofikiri wamebebwa na wimbi la propaganda za Islamophobia na kuwachukia Waislam,wameshibishwa kwa propaganda na maelezo potofu na sasa na sasa wanatapika CHUKI NA UADUI dihidi ya Uislam na Waislam. Haya twende hivyo hivyo
  12. maranduhussein

    Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

    Nawaza tu ingekua vipi yule anayeitwa humu JF na wenye chuki "mvaakobaz",angetembelewa na balozi wa Saudia,Iran au Qatar!!Ndiyo ungejua jinsi udini ulivyokolea JF. Neno "uwekezaji"lisingeandikwa kabisa.
  13. maranduhussein

    Israel imepata hasara. Hawawezi kuwaokoa mateka 230. Walitamani watoke na sinema nyengine ya Uganda

    Mbona huulizi kwann Marekani hakupeleka meli za kivita Darfur.?? Au tuambie kwann hakuna anayeleta uzi wa "Yanayoendelea Darfur"? Majibu yatakufanya ubadilike.
  14. maranduhussein

    Israel imepata hasara. Hawawezi kuwaokoa mateka 230. Walitamani watoke na sinema nyengine ya Uganda

    Naandika jina lako vita ikiisha nitakuuliza "yako wapi uliyoyasema" Kuuwa watoto kwenye incubators ndiyo ushujaa wa magaidi wa Israel.??
Back
Top Bottom