Reaction yako kama sio siasa basi ndio Sababu ya vijana wengi wanalalamika kukosa ajira.
Kwenye nchi zilizoendelea Technicians ndio kundi kubwa la watu wenye kipato kikubwa na wenye uwezo wa kumudu hali ya maisha.
Hapa kwetu Tanzania mambo ni tofauti sana, vijana wengi wanaenda shule wakiwa na...
Technical Skills ni chanzo kikubwa cha kuingiza pesa, acheni kuwasanganya Watanzania, techinical skills ni msimgi, vijana wanaofanya kazi Deco majumbani, wanamaisha sana tofauti na wewe uliyeamua kusubiri ajira rasmi
Andiko hili ni dhahiri kabisa umepiga siasa badala ya kusema ukweli, soko la ajira sio tanzania tu bali duniani kote ajira rasmi ni ngumu na uwezo wa Serikali kuajiri ni chini ya asilimia 50, leo hii watu wenye technical skills wanaenjoy life, Vijana wa Kitanzania wanapaswa kujua ukweli kwamba...
Hii ndio sababu ya ongezeko la kukosa ajira, unadhani Tanzania inahitaji madaktari wangapi? au wataalam kwenye eneo lako ni wangapi? yupo Dada mmoja mhitimu wa Masters alienda jifunza uokaji na mikate leo hii pesa alizonazo ni tofauti na kama angeendelea kusubiri ajira, no wonder leo nafasi za...
Rais Samia Aiongoza Tanzania kuwa nchi ya 9 Kati ya 54 Afrika katika Miundo mbinu bora
Na: Keneth Mushiu, Dodoma
Juhudi za Rais Samia Hassan za ujenzi wa Miundo mbinu bora kwa ajili ya uchumi wa nchi umeifanya Tanzania kushika nafasi ya 9 kati ya nchi 54 za Afrika.
Katika nchi kumi bora...
Rais Samia Aiongoza Tanzania kuwa nchi ya 9 Kati ya 54 Afrika katika Miundo mbinu bora
Na: Keneth Mushiu, Dodoma
Juhudi za Rais Samia Hassan za ujenzi wa Miundo mbinu bora kwa ajili ya uchumi wa nchi umeifanya Tanzania kushika nafasi ya 9 kati ya nchi 54 za Afrika.
Katika nchi kumi bora...
Kifo cha Mlevi wa Misenyi na Aibu Kwa “Mashine ya Propaganda” ya Chadema
Wachambuzi wengi wa mambo wameonya mara kadhaa kuwa masuala mengi hapa nchini yanayodaiwa kuwa na changamoto ama yanakuzwa au ni sehemu ya uzushi wa “mashine ya propaganda” ya vyama vya upinzani hasa Chadema.
Leo utata...
haya ni mawazo ya mtu asiyejua namna serikali inavyofanya kazi, endeleeni kupiga ramli ikifika 2025 mnakosa Sera mnapigwa mchana kweupe Samia anatuvusha tena hadi 2030
Waziri wa Habari Nape Nnauye amemshukia Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Kissu akimtaka aache kutumia lugha za matusi na kashifa anapotoa maoni yake.
Nape ameyasema hayo Ukumbi wa Nkuruma alipokuwa akihitimisha mjadala wa HakiJinai ambapo alisai amensikia Lissu akibeza kwa lugha “za hivyo”...
Wasomi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamesema mageuzi aliyoyaanza Rais Samia Suluhu Hassan katika eneo la HakiJinai yanapaswa kuwa endelevu.
Mhadhiri wa Sheria Chuoni hapo Dkt. Saudin Jacob anasema uchambuzi na maboresho mbalimbali katika mfumo wa haki jinai ni mwafaka kwa...
Na Johnson Gerald
Nimefuatilia ripoti ya Jaji Othman Chande kuhusu changamoto mbalimbali katika utoaji wa haki katika mawanda za jinai nchini. Nataka kuamini Jaji Chande amewasemea wananchi wengi katika ripoti yake lakini pia ametusema sote tuliochangia jinai hiyo.
Ungana nami katika kuangalia...
“ Kwa wale ambao wana mashaka mwanamke huyu ataweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nataka niwaambie aliyesimama hapa ni Rais, nataka nirudie kwamba aliyesimama hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye maumbile yake ni mwanamke”
Kauli thabiti ya Mheshimiwa Samia...
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa wa chama hicho, aliyewahi pia kuwa mbunge wa Iringa mjini na waziri kivuli wa Wizara ya Maliasili na utalii Mchungaji Peter Msigwa amesema hali ni mbaya katika hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru hifadhi...
PM: BEST WAY TO CONSERVE LOLIONDO NOT YET DECIDED
Guardian baada ya kubumba stori ya PM atlast wametambua mwandishi wao ni wa mchongo na wamerekebisha, ukweli umesimama dhidi ya PAYROL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.