Recent content by Maramla

  1. Maramla

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Reaction yako kama sio siasa basi ndio Sababu ya vijana wengi wanalalamika kukosa ajira. Kwenye nchi zilizoendelea Technicians ndio kundi kubwa la watu wenye kipato kikubwa na wenye uwezo wa kumudu hali ya maisha. Hapa kwetu Tanzania mambo ni tofauti sana, vijana wengi wanaenda shule wakiwa na...
  2. Maramla

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Technical Skills ni chanzo kikubwa cha kuingiza pesa, acheni kuwasanganya Watanzania, techinical skills ni msimgi, vijana wanaofanya kazi Deco majumbani, wanamaisha sana tofauti na wewe uliyeamua kusubiri ajira rasmi
  3. Maramla

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Andiko hili ni dhahiri kabisa umepiga siasa badala ya kusema ukweli, soko la ajira sio tanzania tu bali duniani kote ajira rasmi ni ngumu na uwezo wa Serikali kuajiri ni chini ya asilimia 50, leo hii watu wenye technical skills wanaenjoy life, Vijana wa Kitanzania wanapaswa kujua ukweli kwamba...
  4. Maramla

    Waziri Mkuu yupo sawa kuwashauri wahitimu wa degree kwenda Veta, Kiburi cha wahitimu kimesababisha wawe watu wasio na mbele wala nyuma mitaani

    Hii ndio sababu ya ongezeko la kukosa ajira, unadhani Tanzania inahitaji madaktari wangapi? au wataalam kwenye eneo lako ni wangapi? yupo Dada mmoja mhitimu wa Masters alienda jifunza uokaji na mikate leo hii pesa alizonazo ni tofauti na kama angeendelea kusubiri ajira, no wonder leo nafasi za...
  5. Maramla

    Mtendaji Mkuu wa TANROADS: Tanzania inashika nafasi ya 9 kwa miundombinu ya barabara na madaraja kati ya nchi 54 za Afrika

    Rais Samia Aiongoza Tanzania kuwa nchi ya 9 Kati ya 54 Afrika katika Miundo mbinu bora Na: Keneth Mushiu, Dodoma Juhudi za Rais Samia Hassan za ujenzi wa Miundo mbinu bora kwa ajili ya uchumi wa nchi umeifanya Tanzania kushika nafasi ya 9 kati ya nchi 54 za Afrika. Katika nchi kumi bora...
  6. Maramla

    Mtendaji Mkuu wa TANROADS: Tanzania inashika nafasi ya 9 kwa miundombinu ya barabara na madaraja kati ya nchi 54 za Afrika

    Rais Samia Aiongoza Tanzania kuwa nchi ya 9 Kati ya 54 Afrika katika Miundo mbinu bora Na: Keneth Mushiu, Dodoma Juhudi za Rais Samia Hassan za ujenzi wa Miundo mbinu bora kwa ajili ya uchumi wa nchi umeifanya Tanzania kushika nafasi ya 9 kati ya nchi 54 za Afrika. Katika nchi kumi bora...
  7. Maramla

    Kifo cha Mlevi wa Misenyi na Aibu Kwa “Mashine ya Propaganda” ya Chadema

    Kifo cha Mlevi wa Misenyi na Aibu Kwa “Mashine ya Propaganda” ya Chadema Wachambuzi wengi wa mambo wameonya mara kadhaa kuwa masuala mengi hapa nchini yanayodaiwa kuwa na changamoto ama yanakuzwa au ni sehemu ya uzushi wa “mashine ya propaganda” ya vyama vya upinzani hasa Chadema. Leo utata...
  8. Maramla

    Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

    haya ni mawazo ya mtu asiyejua namna serikali inavyofanya kazi, endeleeni kupiga ramli ikifika 2025 mnakosa Sera mnapigwa mchana kweupe Samia anatuvusha tena hadi 2030
  9. Maramla

    Wasomi UDSM Wataka Haki Jinai Iwe Mageuzi Endelevu

    Waziri wa Habari Nape Nnauye amemshukia Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Kissu akimtaka aache kutumia lugha za matusi na kashifa anapotoa maoni yake. Nape ameyasema hayo Ukumbi wa Nkuruma alipokuwa akihitimisha mjadala wa HakiJinai ambapo alisai amensikia Lissu akibeza kwa lugha “za hivyo”...
  10. Maramla

    Wasomi UDSM Wataka Haki Jinai Iwe Mageuzi Endelevu

    Wasomi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamesema mageuzi aliyoyaanza Rais Samia Suluhu Hassan katika eneo la HakiJinai yanapaswa kuwa endelevu. Mhadhiri wa Sheria Chuoni hapo Dkt. Saudin Jacob anasema uchambuzi na maboresho mbalimbali katika mfumo wa haki jinai ni mwafaka kwa...
  11. Maramla

    Haki Jinai na Jinai Yetu Sote Katika Utoaji wa Haki

    Na Johnson Gerald Nimefuatilia ripoti ya Jaji Othman Chande kuhusu changamoto mbalimbali katika utoaji wa haki katika mawanda za jinai nchini. Nataka kuamini Jaji Chande amewasemea wananchi wengi katika ripoti yake lakini pia ametusema sote tuliochangia jinai hiyo. Ungana nami katika kuangalia...
  12. Maramla

    Kasimu Majaliwa hutakiwi kusema chochote kuhusu Demokrasia, huna sifa hiyo

    Mtoa hoja nadhani kalewa au ni chuki kwa huyu Baba wa watu…
  13. Maramla

    Maono ya viongozi yanavyoipaisha Tanzania kimaendeleo

    “ Kwa wale ambao wana mashaka mwanamke huyu ataweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nataka niwaambie aliyesimama hapa ni Rais, nataka nirudie kwamba aliyesimama hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye maumbile yake ni mwanamke” Kauli thabiti ya Mheshimiwa Samia...
  14. Maramla

    Mchungaji Msigwa: Tuchague kuitunza Ngorongoro au tuache Wamasai wafuge ng’ombe kule

    Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa wa chama hicho, aliyewahi pia kuwa mbunge wa Iringa mjini na waziri kivuli wa Wizara ya Maliasili na utalii Mchungaji Peter Msigwa amesema hali ni mbaya katika hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru hifadhi...
  15. Maramla

    PM: Best way to conserve Loliondo not yet decided

    PM: BEST WAY TO CONSERVE LOLIONDO NOT YET DECIDED Guardian baada ya kubumba stori ya PM atlast wametambua mwandishi wao ni wa mchongo na wamerekebisha, ukweli umesimama dhidi ya PAYROL
Back
Top Bottom