Humjui katambi amekuwa chadema muda mrefu sana binafsi nimemfahamu SAUT mwanza na alikuwa mwanaharakati haswaa wa chadema so kusema alipewa uongozi bila kuchunguzwa au ghafla unaongopea.
Hicho ni chama cha watu ni muhimu aither kutoa taarifa au feedback ya mambo yanayotokea ndani ya chama tena kwa kutumia mitandao ya kijamii kwa sababu vyombo vya habari vimezibwa midomo!
Mkuu tunaishi na wapangaji kwa ugumu mno kuna walevi,wagomvi,wachafu, wapiga miziki kwa sauti ya juu mpaka usiku wa manane na kila kero afu ndo uongeze kodi na malipo kwa mwezi mmoja si kheri nimfungulie mke Wangu mradi wa kuku wa kisasa kwenye hivyo vyumba?
Nijenge mwenyewe kwa Shida na pesa za kusimangwa na waajiri na mabenki then aje mla vya bure anipangie bei plus kulipa kodi si bora nifugiemo kuku wa kisasa? Wapangaji wenyew tunavumiliana mambo mengi.
*TCRA REPORT ON TELECOM CHARGES IN TANZANIA*
According to TCRA, TIGO network for calls and sms is most expensive compared to other network in Tanzania..
Network with reasonable rates are, TTCL, ZANTEL and BENSON(SMART)..
*SAME NETWORK CALLS CHARGES*
TIGO to TIGO is tsh 360 per minute...
Yeah in kweli mkuu hawa wa kwangu niliwapa mmea mixer ugoro wamekuwa shida mtaani ila nilitaka mbinu nyingine sababu zoezi la kuwavutisha linahitaji uwe mvutaji pia.
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?[emoji28] [emoji28]...
Njia nyingine pendelea kushuka karibu na vituo vya polisi au Kambi za jeshi kondakta ataogopa kukudai akidhani ni askari
Njia hii imenisaidia Sana songea nilipokuwa nashukia Ruhuwiko (NMC) watu walidhan me mwanajeshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayuko ndani ya mita 60 kutoka kwenye chanzo cha maji bali ni mita 60 kutoka mtoni pia kwa maelezo zaidi yupo 20km kutoka kwenye chanzo cha mto huo.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.