Recent content by Mapso

  1. M

    Dogo afanyaje kwenye scenario kama hii??

    We nawe utaratibu huujui taasisi kibao tu zinaajiri zenyewe na Zina employer number, hizo check namba ni wale wanaotegemea mshahara hazina tu Kuna taasisi zinajilipa mkuu TRA,TANESCO,NSSF,NHIF,GBT, PSSSF, huo ni mfano tu hao hawana check namba ila kwakua ni taasisi za serikali mwenye check namba...
  2. M

    Dogo afanyaje kwenye scenario kama hii??

    M ivi TRA wanatumia check namba??
  3. M

    Dogo afanyaje kwenye scenario kama hii??

    Hiyo check namba itakuaje
  4. M

    Dogo afanyaje kwenye scenario kama hii??

    Kwaiyo saivi hata kama hujasaini offer letter wanakupa tu check namba na mshahara wanalipaje mtu na offer letter hajasaini au mi ndo sijaelewa
  5. M

    Dogo afanyaje kwenye scenario kama hii??

    Mi mwenyewe nmeshangaa verification ya vyeti tu na check namba tayari sasa akienda kwenye hiyo taasisi hiyo check namba atapata nani
  6. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Duh sasa si wanasemaga usiporipoti ndani ya siku 14 anapangiwa mwingine, na hizo za chuo si lazima apige usaili utumishi labda kama Kuna transfer vacancy, ila huyu ni zile taasisi zinazoajiri zenyewe
  7. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sasa huyu ni kwamba hajala hata mshahara mmoja wa serikali😂
  8. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Seran BARDIZBAH toeni muongozo wakuu
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sasa hapo changamoto ni kwamba ameshapeleka documents zote ila check namba bado, maana hajaanza kazi hawezi kuhama kweli??, maana kote ni serikalini
  10. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakuna Cha kitengo nyeti mkuu taasisi yoyote ile ukifeli practical utumishi inakuwa re advertised
  11. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Practical aisee zinaonekana tough sana, Kuna namba za viatu sana kwenye practical, utumishi kwenye practical ni balaa kabisa aisee, written nazo za online ni za moto vibaya mno hizi saili mtu inatakiwa ujiandae vilivyo kweli kweli, ukimuona mtu kwenye PDF la kuitwa kazini kapitia mambo mengi...
  12. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama kawaida aki relax tu kinamlamba
  13. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndo huwaga ilivyo, chance ya kupata ni kubwa japo maandalizi yanahitajika kama kawaida, aki relax tu inakua re advertised
  14. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asipofikisha marks za oral na yeye kinamlamba kwaiyo asibweteke ajiandae vizuri na oral tu
  15. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Duh pole mkuu na msuli wote ule uliokua ushapiga
Back
Top Bottom