We nawe utaratibu huujui taasisi kibao tu zinaajiri zenyewe na Zina employer number, hizo check namba ni wale wanaotegemea mshahara hazina tu Kuna taasisi zinajilipa mkuu TRA,TANESCO,NSSF,NHIF,GBT,
PSSSF, huo ni mfano tu hao hawana check namba ila kwakua ni taasisi za serikali mwenye check namba...