Jamani tusianze kuweka misimamo. Ni vema tukaendelea kujadiliana, kushauriana, kuelimishana kupeana muda zaidi na mwisho tutatoka na jambo moja ambalo kwa wote tutaridhika nalo. Nadhani Lowasa angependa kupeperusha bendera ya Ukawa lakini hili sio jambo la kuomba na kupewa. Ni jambo la...
Mkuu, ili kumaliza vita ni lazima tutumie silaha ya juu na kali kuliko zote (WMD) kama ilivyotokea Hiroshima na Nagasaki. Na ni lazima tukubali gharama yake, otherwise tutaendelea na mfumo wa uoga na malalamiko. Wenzetu waliofanya hivyo wanapiga hatua hata kama kuna changamoto.
While the goal of UKAWA is definate the means of realizing it can not be easily explained to its followers. The coalition leaders nevertheless have specific direction towards meeting the goals though these could drift them from their policies of non tolerance to issue related to corruption and...
Ni dhahiri kwamba mhe Lowasa ni mtaji mkubwa katika kujiunga na chadema/ ukawa. Aidha utaratibu na makubaliano ya kujiunga na CDM ndiyo utakaomfanya awe mtaji au mzigo kwa chama. Ikumbukwe kwamba Lowasa anajiamini sana na hadi sasa anaamini kwamba ana nafasi ya juu kabisa ya nchi hii na...
Kila jambo lina wakati wake. Nyakati za mwisho wa CCM ni sasa maazingira yote yanazitokeza. Huu ni wakati wa upinzani hususani CDM kuchukua nchi. Ila kama michezo mingine ni lazima wawe making katika lala salama hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.