Recent content by Mapesa Molofu

  1. M

    Post za kidato cha tano 2015/2016

    Wa saba shule ila wengi wamekosa nafasi kutokana na uhaba wa madarasa na mabweni,hata hivyo serikali inajitahidi kuhakikisha inawabanabana ili wote mpate nafasi ya kuendelea na masomo.
  2. M

    Walimu ajira mpya waliokosa mshahara wa mwezi huu

    Nafikiri huwa ni vigumu watu wote kuingia kwenye system kwa mara moja kutokana na kazi kubwa ya kuingiza majina katika system hivyo huwa ni taratibu na baadaye wote mtakuwa kwenye system. Hamna budi kuwa wavumilivu na wenye subira .
  3. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    ashukuliwe mungu muweza wa yote jamani,TAMISEMI oyeeeeee.
  4. M

    UDOM pamechafuka Tena Leo Kwa mara ya pili

    Hakuna kuogopa polisi haki lazima ipatikane hata wakiwaua watafaidika kizazi kingine.Hakuna kuogopa wanyanyasaji.
  5. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    KILA MMOJA AWE DODOMA JPILI ILI JTATU TUWAHI TAMISEMI saa 2 wote tuwe pale in order to organize OURSELVES on how to do.Tuwasamehe hawa wanaocoment matapishi,maharagwe yanawasumbua wameanza kuchafua hewa wanahara hovyo.
  6. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    Atasema vizuri Jtatu mpaka wasukumwe ndio wanawajibika sio hivi hivi tu.
  7. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    Ikibidi twende mpaka bungeni hili wazo zuri na hasa wale wahusika wa TAMISEMI wasipokuwepo ofisini tutamfuata pinda Bungeni na hili lazima watangaze kwenye vyombo vya habari kwamba wanatuajiri lini.Jamani tuungane na tutatembea barabarani bila woga wala kuwaogopa wanaojifanya wanamamlaka...
  8. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    ungekuwa mkaguzi wa shule ningeyafanyia kazi mawazo yako.
  9. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    Wahanga wa ajira ya ualimu mnaarifiwa kuwa siku ya Jtatu tarehe 25/5/2015 kutakuwa na maandamano Dodoma kwenye jengo la TAMISEMI ili kudai haki yetu ya ajira.Mjulishe na mwenzio ili kuimarisha umoja wetu.
  10. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    Twendeni dodoma j tatu wote kwa pamoja tuhamasishane tupiganie haki zetu.Ccm sasa ni balaa kila wizara ni mapungufu tu,tusikubali jamani na mwezi wakumi tusiwafumbie macho hawa inabidi wapumzike maana wamechoka sana mpaka wanasahau wajibu wao.Kwa pamoja tuseme HAPANA CCM.
  11. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    Hakuna hawa lazima tuandamane na kujitoa sadaka mbona wanaelewa tu,kwani vyuo vikuu wamefanyaje na leo hela zao ziko tayari,lazima uvunjifu wa amani utokee ndio wataelewa si ndivyo walivyojizoesha mpaka tugombane.Kuajilowa waalimu ni haki yetu sio kama fakati zingine na ndio maana hata wao...
  12. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    Walioenda jana hawakumkuta katibu mkuu wala Mkurugenzi,na waliwakuta baadhi ya akina mama ambao walikaimu kwa muda,majibu yao yalikuwa hivi"vuteni subira ndio wanaingiza majina yenu kwenye website mtayaona".Kwa mantiki hii wakuu naomba tusubiri mpaka tarehe 24 then J tatu twende na tujipange...
  13. M

    Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

    Namba hii hajawahi pokea inaita mpaka inakata bora asingetoa hii namba, inaonesha wazi jinsi gani wanafanya mambo kisiasa kwakuwa sio wakweli,ila hatma ipo tu mi naamini.
Back
Top Bottom