Wanazengo habari zenu
Kama kichwa kinavyojieleza..dogo wa miaka 21 anaesoma chuo kwa sasa mwaka wa pili degree kapata mchongo wa kwenda kwenye kazi za watu za kijeshi..na kazi yenyewe kapata kupitia cheti cha form six..
Je ni busara kuahirisha chuo kwenda huko kuripoti ama kumalizia sehemu...
Mwenye fani na asiye na fani wote pared n lazima..kumbuka kazi na ya upolisi..fani uliyonayo ni extra..kwa mfano kikosi cha ufundi kilwa road wao japokuwa wana fani za ufundi lkn huwa wanaingia pared ama mazoezi ya utayali kwa wiki mara moja
Mungu awatangulie nyote mnaosubiri pdf ya mwisho...ajira zilizobaki Tanzania ni ajira za kwenye majeshi tu..ila pengine wale mliongia kupitia professionals mungu awe nanyi zaidi maan wanahitajika wachache mno kwa mfano...katika kitengo fulani interview mlihudhuria zaidi ya 190 na wahaohitajika...
MFAHAMU FISI KIUNDANI ZAIDI
Kuna aina nyingi za fisi ila post hii itaeleza kwa ujumla
• Fisi huishi kifamilia na kwa taarifa fisi hujenga kabisa sehemu wanazokaa ,huzaa watoto kuanzia wawili mpaka wanne bahati mbaya waliyonayo wanyama hawa hupata tabu sana ya uzazi pindi jike linapozaa, watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.