Recent content by mapendojosephmeela

  1. M

    Polisi wavamia nyumbani kwa Mbunge wa Arusha G. Lema

    Sasa maneno si aliyasema hadharani home kwake waendachukua nini
  2. M

    Tausi akanusha kutoka na Hemed PHD

    Hata kama anatoka nae si ndio kawaida yao hao wajiitao wasanii
  3. M

    Millard Ayo achafuliwa Instagram

    Hiiiiii kaaazi kweli na maisha haya yalivyobana lazima tutasikia mengi
  4. M

    Je, walijua jiji la Tanga?

    Tanga ni jiji pekee maji bwerere na unawezafika popote utakako bila bughuda ya foleni
  5. M

    Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

    Nyie vijana wa mjini Mawazo yenu bana
  6. M

    Tetesi: Professor Lipumba: Lazima tugawane Umeya wa Kinondoni na Ubungo

    Huyu jamaa tokea mwanzo niliona dalili ya kuupasua ukawa. Ina maana alishindwa fanya kazi ingine kwa muda woote huo huku kusoma kwingine bana
  7. M

    Bodi ya Vyombo vya Habari vya CCM yajiuzulu

    Duuuu Haya Haya ya uvunguni yanakuaja soon ..Heshima kwako mh Presdaa
  8. M

    Sasa nimejua kauli kutoka juu huwa zinatoka wapi

    Ila upinzani kwa sasa unaogopeka kuliko kitu ingine kabisa asee
  9. M

    Wema: Nitalipa pesa matibabu ya baba Diamond

    Ni kutafuta kiki tu huko mbona siku nyingi malalamiko ni ya BABA mzazi tu. Hao waandishi waende pia kwa Mamake Diamond wapate na upande WA pili. Still Kama mzazi alishindwa malezi na mtoto kajitahidi amekua na maisha. Awe mpole mtu
  10. M

    Picha: Polisi nchini Ufaransa wakimwamrisha mwanamke wa kiislamu kuvua "burka".

    Najiuliza kwa hawa askari kumfanyia hivyo huyu Mama hofu yao nini hapo
  11. M

    Picha: Polisi nchini Ufaransa wakimwamrisha mwanamke wa kiislamu kuvua "burka".

    Duu hii dinia tuendako kama amani itatoweka aisee
Back
Top Bottom