Naamini kuna namna ambazo zipo za kuwakumbuka Nyerere na Mkapa.
Hili ni pendekezo la namna nyingine ya kumkmbuka kiongozi.
Ni kweli aliyafanya kwa fedha za Serikali lakini ni ukweli kuwa alifanya kwa jitihada,uaminifu na ari kubwa.
Salamu kwa wanaJF.
Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.
Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya...
Hii ni reaction ya mbunge wa Sumve kuhusiana na kauli ya Mwanachadema aliyetoka lupango kwa huruma ya mama Samia .
Chadema na Mdude lazima waombe radhi ili kujisafisha.
Kauli hii ya Mdude imeharibu taswira ya nchi, Mahakama iliyompa ushindi, Hayati Magufuli, Rais Samia na CHADEMA.
Katika kampeni ya Urais Magufuli akiwa na Samia walituahidi watanzania kuwa wataanzisha mahakama ya mafisadi.
Ahadi ya Wagombea Urais ni swala la kiilani vile vile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.