Kipimo cha wasanii wetu ni kwa wanachokiimba na kuigiza ni mapenzi na kuharibu vizazi kwa Mambo ya ajabu. Hii ni kufanya kazi kwaajili ya njaa ya tumbo na akili. Sasa penye mfupa ndo wanaelekekea naamini hata ikawa chadema wataenda tu maana ni njaa, japo wanaitumia Kama haki yao kidemokrasia
Siyo kila mzee anabusara hata wajinga huzeeka. Taifa linapelekwa kwenye mfumo wa familia taratibu na Kuna ambao wanaofanya hivyo kujiwekea Kinga kwa makosa waliofanya
Namaanishi tusiwe wepese kutoa banz ndan ya Jicho la wengine letu tumesahau. Wao walikubali vip kutoa ilihali wanaona kuna wizi kisha waje kulalamika leo, huu n upungufu wa fikra. Ndio maana wanatutungia sheria za hovyo kabsa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.