Mchakato wa kura za maoni ulitawaliwa na vitendo vya Rushwa kwa wajumbe wa mkutano kiasi kwamba aliyetoa pesa nyingi kwa wajumbe ndiye aliyepata Kura nyingi.
Kwa mantiki hii, wagombea wote waliofanikiwa kujizolea kura nyingi Ni wale ambao kwa kutumia utajiri wa pesa walionao waliofanikiwa kuwahonga wajumbe ambao wengi wao wanaishi katika umaskini wa Hali ya juu.
Maamuzi haya ya wajumbe yamesababisha kurudi kwa watu wale wale ambao wamekuwa wakilalamimiwa kushindwa kuleta maendeleo katika majimbo yao.
Kwa mantiki hii, wagombea wote waliofanikiwa kujizolea kura nyingi Ni wale ambao kwa kutumia utajiri wa pesa walionao waliofanikiwa kuwahonga wajumbe ambao wengi wao wanaishi katika umaskini wa Hali ya juu.
Maamuzi haya ya wajumbe yamesababisha kurudi kwa watu wale wale ambao wamekuwa wakilalamimiwa kushindwa kuleta maendeleo katika majimbo yao.