Vitengo vyote katika nchi vipo lakin chaajabu mambo bado yanaendelea kutokea au ndio hile dhana ya polisi bila wezi hawafanyi kazi yani lazima vitu viwepo ili watu wafanye kazi nafikili niwakati wakuchukua hatua kwa upana zaidi kwa wahusika wa idara husika .
suruhisho ni dogo sana ingia Ajira Portal chukua ile email ya
Very simple solution fanya ivi
ict@ajira.go.tz
Wape detail zako za email uliotumia then wao wenyew watakutumia Password but huwa niminamba yaajabu kwhy utabadilisha mwenyew ukiingia kwny account yako
TANZANIA TUITAKAYO - UNUNUZI WA UMMA.
Manunuzi, ni kitendo cha kununua au kuuza hifaamike tu kuwa nibidhaa au huduma kutoka katika chanzo cha msambazaji au mtoa huduma lakini chanzo hiko kiwe halali katika utoaji wa huduma, manunuzi yavitu ambavyo haviko halali yani vitu vya wizi hatuseme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.