Ubaya Ubwela
Yale Yale ya Makam M/kiti Zanzibar. Je, Kuna Hakimu wa kuweza kulikubali hili?
Je, chama kinaweza kufungiwa kama wengine?
Je, msajili anaweza kuchukua hatua kama alivyofanya kwa wengine?
Sasa ni RASMI kwamba team MBOWE ndo walianza vurugu, LISSU alitamani kubaki kwenye nafasi ya Makam Lakini team MBOWE wakaplan kumwengua kupitia Wenje. Sasa kama Mbwai na iwe Mbwai
Labda nikukumbushe kwamba baada ya tume kutangaza matokeo tu, Kikosi kilichokuwa tayari kimeandaliwa kilitumwa kumkamata wakamkuta Yuko kwenye Ubalozi wa German.
Sasa hayo maandamano aliyaitisha lini?
Mdude_Nyagali
Kwenye Clip mlipokamatwa ukiwa na FAM askari wote walionekana wazi kuwa hawakuwa na shida na boss wako. Kibaya zaidi FAM alionekana akiongea na simu kwa uhuru wote.
Siku chache kabla ya tukio TANPOL walitoa taarifa kwa umma kwamba Kuna chama kimejipanga kuvamia vituo vya police. Yes, hii ukiconnect dots utagundua kwamba first suspect ni yeye.
Nitatoa hints TU:
LISSU alisema awali kwamba hawezi kugombea nafasi ya MBOWE.
Team MBOWE wakamwandalia mchakato wa Abdul. Inaelekea walikuwa na manufaa na mchakato.
Mchakato wa Abdul ulipokwama wakaandaa mchakato wa kumwengua Moja kwa Moja kwenye nafasi za juu za uongozi wa chama.
Wenje...
Hili jukwaa kweli ni la Great Thinkers, naona wachangiaji wengi hawajaelewa. Umerusha jiwe gizani na kuingia kichwa kichwa inabidi uwe na mwanasheria wako.
Hiyo ndio faida ya kudhibiti midomo isikuongelee unapokuwa madarasani. Angeruhusu kuongelewa kwenye utawala wake sasahivi tungekuwa kimya maana yote yangeliongelewa wakati huo.
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na...
Nimemsikiliza VIZURI waziri wa mambo ya Ndani wakati akitolea maelezo suala la VITAMBULISHO VYA TAIFA kuchelewa. Lakini katika maelezo yake nimebaini kwamba Kuna uwezekano hata VITAMBULISHO tuligawa tenda kwa makampuni ya nje. Sasa Je, watanzania na hili tunashindwa?
Hapa kuna mkang'anyiko wa Malengo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Shule za Msingi wanafunzi wanafundishwa somo la TEHAMA. Angalau nadharia wanayotoka nayo huko Msingi ingeliendelezwa pale wanapofika Sekondari lakini ukweli ni kwamba Shule nyingi za Sekondari, hasa za SERIKALI hakuna...
Kichwa cha habari chahusika,
Napendekeza mishahara yao ipunguzwe kwa kuwaondolea mambo yafuatayo:
1. Transport allowances, hii ni zaidi ya million 8 ambayo ni posho kwaajili ya kutembelea jimbo, mafuta, nk
2. Mfuko wa jimbo
Hii ni kutokana na mlipuko ulioikumba dunia kwa sasa. Napendekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.