Recent content by Maoshi

  1. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kila mtu ana ndoto zake,Mimi nimesoma diploma ya kilimo na degree ya wanyamapoli,alafu ajira nikaajiriwa wizaran,wizara ya kilimo kwa level ya diploma,so nawaza Sana maana nikiendelea kukaa huku, degree yang haina thaman hapa wizara ya kilimo,inabidi kufanya mchakato niame wizara ya maliasili au...
  2. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Punguza wasiwasi ndugu,mtaitwa tu,kuajiriwa TANAPA ni process kubwa ya kibajeti,lazima wahakikishe kwanza waajiriwa wapya wanajengewa nyumba hifadhini kulingana na idadi inayotakiwa,pili interview zao ziko kijeshi zikianza written,practical,vipimo vya afya na oral,watakaofanikiwa Kuna kwenda...
  3. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Sasa hapo si unaweza kuandika barua ya kuvunja mkataba within 24 hours,then unawalipa mshahara wa mwez mmoja,alaf watakujibu then unaenda kuripot kwa mwajiri mpya,taarifa zako zinakuwa hazisomeki,usije kuonekana unachukua mshahara Mara mbili,watakufuta huko uliko
  4. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Jaman status yangu imebadilika both App na web,jina la mwajiri toka kingereza kwenda kiswahili,vipi nitafute nauli ya kwenda masjala ya wazi wadau?au😁 2021-2023 2023 August September 👇...
  5. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kuna halmashauri moja hiv iliwapigia siku vijana wqkaripot mwez wa nne,kabla hata Psrs hawajatoa majina,vijana wakafata barua zao na kwenda kuripot,barua ikiwa ya mwezi wa nne, leo hao vijana wameshachukua mshahara wa tatu Sasa,Leo ndo PDF Yao imetoka wameitwa kazin,😁😁😁
  6. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mi hapo nimezungumzia muundo wa wizara yetu ya mifugo na uvuvi tu,so hizo wizara nyingine na Mambo Yao hata sijui chochote mkuu
  7. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Bora hata angekuwa bank officer wa NMB makao makuu,saiv wa tawi tu,aje wizarani pazuri,mshahara ni wakawaida ila safari kibao sana ,aje apate check namba huku,
  8. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hatari sana mpk Kuna watu wamepelekwa mpk bandarini na airport,wizara Pana sana
  9. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Huyo jamaa mwambieni aje haraka wizarani,kabla wizara haujarudisha taarifa Psrs wakampangia mtu mwingine,pia mwambie aache kulinganisha kitawi Cha NMB na wizara(serikali kuu)😁
  10. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Yapo Ila inategemeana na kitenge Sasa,mfn Kuna jamaa kaajiriwa km mwandishi wa habari wizaran,yeye kila msafara wa waziri au katibu mkuu na yeye anaenda,so yeye hizi perdieem Kama zote
  11. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    kazi za benk,Kazi ya kuhesabu hela za watu 😁, aende huko wizarani maana Kuna wazee kibao wamekaribia kustafu so kwa miaka ya mbeleni hawa waajiriwa wapya ndo watakuwa mabosi wa wizarani,kikubwa akapige kazi na kuongeza shule,kumbuka na teuzi nyingi zinatokea wizarani,chache sana halmashauri
  12. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Alaf wizara Kama wizara ni Pana sana, headquarter Kuna ofisi ya wazir,naibu waziri,katibu mkuu na wakuu wa idara,Hr,mwasibu mkuu nk,so Kuna idara nyingi wizaran,mfn idara ya masoko,idara ya uzalishaji,so kwenye idara Kuna wakuu wa idara hapo Headquarter,hivyo basi kila idara inawafanya kazi...
  13. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    vituo wameshapangiwa tayari wiki iliyopita, so mchumi, mwandishi wa habari,dreva,civil engineer nk wamebaki makao makuu,wa kozi za mifugo wengine wameenda bandarini(Tanga na dar),KIA(kilimanjaro air port)Arusha airport,wengine mipakani (sirari, tunduma na holoholo)wakakusanye maduhuri ya mazao...
  14. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Watambakiza hapo Dodoma HQ
Back
Top Bottom