Hata mimi baada ya kusikia watu wanongea sana kuhusu hapi nimeitafuta mpaka nikaona!! RC Hana kosa lolote maana mzee kuelezea ila ilipofika madam kujielezea kaanza kwa kusema mimi Ni chadema halafu bla bla bla.. kwa kawaida yule mama anawajibishwa kwa sababu yeye ndo suspected katika ubomoaji wa...
Big No!! Kuanzia Kayibanda aingie uongozini watutsi wengi walikuwa wakimbizi kwenye nchi jirani so serikali yake ikaamua wanyarwanda walioko nje warudi but katika kurudi huko Kuna waliokuwa wanauliwa na wahutu! Wakagoma kurudi, utawala wa habyarimana uliingia mwanzoni alionekana kaja kusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.