Recent content by manyovu 1

  1. M

    Ifahamu Manyovu mkoa wa Kigoma

    Kijana bado hujaijua vizuri Manyovu unachanganya mambo
  2. M

    Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

    Anapenda ngawila kama unaweka ngawila kwenye pochi kaa mbali
  3. M

    Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

    Hugo witnessj namfahamu ni mzuri ila ana matatizo yake
  4. M

    UTEUZI: Rais Magufuli ateua Naibu Magavana wawili wa Benki Kuu ya Tanzania(BoT)

    Ww hujielewi mpaka kufika hapo alipofika inamaana vyombo vya usalama vilishamchunguza na vikajidhisha, Kwa taarifa anatoka wilaya ya kasulu kata ya mnanila kijijini cha Nyakimwe
  5. M

    UTEUZI: Rais Magufuli ateua Naibu Magavana wawili wa Benki Kuu ya Tanzania(BoT)

    Wachaga nanyie pumzikeni mmeiba sana sana awamu zilizopita, ngoja na wengi wajaribu nyinyi ndo mmetufikisha hapa
  6. M

    UTEUZI: Rais Magufuli ateua Naibu Magavana wawili wa Benki Kuu ya Tanzania(BoT)

    Hivi hili jukwaa limegeuka kuwa kijiwe cha majungu? Mijitu imeamua kumwaga uhalo kuongea vitu wasivyovijua, halafu Kwa kuwajulisha sio kila mtu mwenye asili ya kitutsi ni mnyarwanda, kuna watutsi wa Tanzania, Kenya, uganda, rwanda, Burundi, Kwa kifupi watutsi no wahamit sawa na wamasai
  7. M

    Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

    Habari mrembo, mm karibu vigezo vyote Nina, naomba masiliano yako ya simu ili tuweze kuwasiliana
  8. M

    Kumbe ndiyo maana Mkulu huwa anawapigiaga simu Clouds na kuwapongeza

    Issue inakuwa hivi anatafutwa MTU ambaye anatoa dau kubwa kupita wote halafu akishamaliza anaingia mitini ndio baadaye unakuja yule mwenye mzigo Kwa bei waliyopanga na Dalali wa huo mnada
  9. M

    Sema neno

    Unategemeana na kichwa cha mwanamke kuna wanawake wanahela xao na wanaadabu Kwa waume zao na washauri wazuri tu
  10. M

    Ushauri: Najichukia sana unene wangu mpaka nakosa usingizi

    Jitahidi kila siku uwe unabembea angalau km 5 kila siku kama uko d Jitahidi angalau kila siku uwe unatebembea Kwa miguu angalau km tano mfano kama uko dar tembea kutoka ubungo mpaka yangu bovu mbezi, ndani ya week 2 utaona matokeo
  11. M

    Mvulana wa miaka 17, afanyiwa upasuaji ili kupunguza uume wake

    Kwema yaani natamani siku moja nikuone maana umezidi vituko
  12. M

    Mvulana wa miaka 17, afanyiwa upasuaji ili kupunguza uume wake

    Hivi ww rubi, yaani natamani siku moja nimekuona, yaani kila kitu ni utani
Back
Top Bottom