Ww hujielewi mpaka kufika hapo alipofika inamaana vyombo vya usalama vilishamchunguza na vikajidhisha, Kwa taarifa anatoka wilaya ya kasulu kata ya mnanila kijijini cha Nyakimwe
Hivi hili jukwaa limegeuka kuwa kijiwe cha majungu? Mijitu imeamua kumwaga uhalo kuongea vitu wasivyovijua, halafu Kwa kuwajulisha sio kila mtu mwenye asili ya kitutsi ni mnyarwanda, kuna watutsi wa Tanzania, Kenya, uganda, rwanda, Burundi, Kwa kifupi watutsi no wahamit sawa na wamasai
Issue inakuwa hivi anatafutwa MTU ambaye anatoa dau kubwa kupita wote halafu akishamaliza anaingia mitini ndio baadaye unakuja yule mwenye mzigo Kwa bei waliyopanga na Dalali wa huo mnada
Jitahidi kila siku uwe unabembea angalau km 5 kila siku kama uko d
Jitahidi angalau kila siku uwe unatebembea Kwa miguu angalau km tano mfano kama uko dar tembea kutoka ubungo mpaka yangu bovu mbezi, ndani ya week 2 utaona matokeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.