katika maisha yangu napendelea sana kuja kufanya hz biashara ya bar,loagy na kumbi za harusi......kuanzisha biashara kubwa ambayo itakuwa imevibeba hv vitu vyote kwa pamoja.NATAKA NIJUE CHANGAMOTO ZAKE KWENYE HII AINA YA BIASHARA???.. NIMESOMEA IT (INFORMATION TECHNOLOGY) ILA IM INTEREST NA HII...
serikali imeweka vipingamiz kwa TBC kuonesha bunge live,kwa sababu ya kiuchumi, nk wazijuazo wenyewe....nilitaka kujua vip vyombo binafs kama ITV,AZAM TV,...NK HV HAVITAONESHA?? AU NAVYO VILIKUWA VINAJIUNGA NA TBC??? KUPATA HABAR ZA BUNGE??..INAWEZEKANA KELELE ZA UPINZAN ZIKAGOTA THEN WHAT...
Inawezekana ikawa inafaida na hasara Ila faida no nyingi zaid tunaitaji bunge lioneshwe live bana ,mimi nilikuwa najifunza mengi sana kutoka mbungen jinsi ya kutetea jambo,jinsi ya kuchambua mambo najifunzaga mengi kutoka kwa wale watu upinzan pigianene live iwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.