Mapenzi kwenye gari?!! yaleyale ya Padri KIMARIO kule Changanyikeni!! Mungu anawaumbua wanaovunja amri ya sita! R.I.P both FR.KIMARIO AND LEONARD MTENSA
Wenye mabenki washauriwe kuwaagiza wafanyakazi wao waache simu zao katika chumba maalum wanapoingia asubuhi na wakabidhiwe simu zao wanapotoka jioni baada ya kazi,ambae hataki sharti hilo achape lapa atafute kazi kwingine!
Nakuambia ni SHIDA!! Yaani kampuni inaendeshwa kienyeji zaidi, wakurugenzi wake shule hakuna,wengine wamefoji vyeti ndo maana walifukuzwa uwaziri na kunyimwa ubunge!! these Ntuzu bwana ni SHIDAAAA!!!!!! yaani shule Makoye kabisa! Elimu yao ni DARASA LA SABA a.k.a SINGLE DIGIT!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.