Ndugu wanajamvi,
Naomba kwa yeyote mwenye formula (Kanunu) ya ukokotoaji wa PAYE Tanzania Bara inayozingatia madaraja mapya yanayoanza Julai Mosi 2016.
Ahsante
Hata kama una PHD ya Management kama huna uzoefu wa kazi ni bora ukatafuta nafasi ndogo ndogo kwanza kabla ya kufikiria kazi inayoendana na taaluma yako, huu ndio ukweli wa mambo, Kukimbilia Masters wakati huna experience ya hata miaka miwili ni kutengeneza tatizo.
C*F wamekariri kuwa kila jambo linahitaji maandamano,
vyama mbadala vioneshe kuwa vimekomaa na vinaweza kuchukua nafasi ya kuongoza nchi,
waache maamuzi ya kukurupuka kwa kutaka "cheap popularity"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.