Wewe unaona sawa tafiti ya watu kumi na tano kila wilaya? Tena ya mara moja bila kurudiwa Mara kadhaa. Katika watu milioni zaidi ya 20 maamuzi yatolewe na watu chini ya milion moja?Elewa kwanza maana ya tafiti.
Sawa tumeondoa ushabiki lakini toka ufikie hapo ulipo ccm kakufanyia nini? Ahadi ngap kazitaja kwa miaka tofauti na upi uliokamilika kwa asilimia zote? Wewe ni kijana badilika bac. Hata kama hujui kusoma ata PICHA huoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.