Recent content by Manselly

  1. M

    Kwanii tulipie TBC2 kuangalia UEFA?

    umeongea point sana mkuu mi japo siangaliagi haya ma tbccm yote lakini kwa hili si sawa. Wanatukamua sana kwann izo kodi zisituwezeshe kuona bure kama sehemu ya mchango wa serikali kwa wananchi wake
  2. M

    Mwenye utaalam huu wa kuku wa kienyeji

    shukrani sana japo ungekua unafaham jina la hicho kifaa ingekua poa sana
  3. M

    Mwenye utaalam huu wa kuku wa kienyeji

    jamani mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji ila kila napototolesha vifaranga majogoo wanatotolewa wengi kuliko matetea. Naomba kujuzwa kama kuna tecknolojia ya kulitambua yai lenye kifaranga cha kike au cha kiume kabla ya kutotolesha. Najua hapa wataalam wapo wengi hebu nipeni mbinu
  4. M

    Dalili za kujua kama umeanza kuwa kichaa

    mkuu no tatu inakuhusu coz ume mbishia mleta uzi
  5. M

    Wazoefu wa gari hii naombeni ushauri wenu

    jamani naomba mnijuze tena utofauti wa hizi zenye kabuleta na hizi ambazo sinatumia magneto sina uhakika kama nimepatia ila ipi nzuri kati ya zenye cabuleta na sizizo na cabuleta
  6. M

    Wataalam wa magari nisaidieni hili

    kaka mfano spare gani haipatikani hapa dsm?manake mi ningekua naishi nje ya dsm ingekua sawa
  7. M

    Wazoefu wa gari hii naombeni ushauri wenu

    aisee Mshomba umenifungua macho sana ishu ya spare sio tatizo safi sana ntainunua manake kuna jamaa yangu kainunua sa ametetereka kiuchumi anataka nimrudishie hela kidogo aniachie chuma hii
  8. M

    Wazoefu wa gari hii naombeni ushauri wenu

    safi sana kwa maelezo mazuri. Vp kuhusu nguvu na ulaji wa mafuta
  9. M

    Wazoefu wa gari hii naombeni ushauri wenu

    haya wakuu thanx alot. Vp ulaji wa mafuta
  10. M

    Wataalam wa magari nisaidieni hili

    poa mkuu nimekupata
  11. M

    Wazoefu wa gari hii naombeni ushauri wenu

    Jamani mimi sio mtaalamu sana wa magari, nina uzoefu kidogo tu hasa katika kuendesha ila ubora sijui ila najua majadiliano ya hapa yatasaidia kunipa picha ya kuanzia. Kuna gari nataka kununua na details zake ziko hivi: Make: Nissan model: datsun model no: GA-QD21 Body type: pickup Year...
  12. M

    Wataalam wa magari nisaidieni hili

    jamani mimi sio mtaalam sana wa magari ila najua majadiliano ya hapa yatasaidia kunipa picha ya kuanzia. Kuna ka gari nataka kukanunua na details zake ziko hivi. Make: nissan model: datsun model no: . GA-QD21 body type: pickup year of manufacture 1996 ni ya petrol, cc 2000.na reg no yake...
  13. M

    Shule ya Msingi Viziwi

    ulitaka iitweje hiyo shule?ukienda njombe utakuta shule inaitwa Njombe viziwi pia sa sijui hoja iko wapi. Watu wenye ulemavu wa masikio ndo jina waliolikubali kijana
  14. M

    Wajuzi wa mita za LUKU piteni hapa

    thanx wakuu nimewapata vyema hapa dawa ni kuwaibukia tanesco wanibadilishie tarrif tu manake sifikishi unit sabini kwa mwezi naishi mwenyewe tu hivyo control ya umeme ni kubwa sn kwangu
Back
Top Bottom