Kiwanja kinauzwa Iringa Mjini.
>Kipo Mawelewele Iringa mjini.
>Kina ukubwa Wa 26.6m * 42m = sqm 1117.2
>Huduma za jamii zipo jirani (maji na umeme).
>Hakijapimwa ila barabara za mitaa zishachongwa na kipo eneo salama.
>Bei ni Tsh 11 milioni (maongezi yapo).
>Ukitaka nusu yake...
Jamani msaada nimenunua Techno M6 dukani mpya ila option ya kurestart na kushutdown haifanyi kazi. kuzima mpaka nishedule power itajizima yenyewe. Mwenye ujuzi ama niirudishe
Wadau kwa wale wenyeji wa Dar, kama unafahamu duka wanalouza scooter bike za bei chini nya mil. 1 naomba nijuze tafadhari. Natanguliza shukrani za dhati.
Je ni muhitaji wa kiwanja Iringa mjini ama Mafinga kwa bei unayoimudu, vipp vya size mbalimbali na bei tofauti tofauti, NiPM ama contact me on 0655101998
1. Kina ukubwa wa 21 * 40 m
2. Kimepakana na barabara ya mtaa, na kuna nguzo ya umeme hapohapo.
3. Maji yapo jirani
Bei Mil. 10 maongezi yapo
Cont: 0769877495
Acha uboya wewe nimesoma hapo na nimemaliza hapo
enzi za Msungu shule ni nzuri, nimepita juzi, papo vzur tena sana ukifananisha na enz zetu, hayo mapungufu madogo madogo yanarekebishika na unasema wanalala kwenye magodown, yale mabweni umeyabunua ww ukayaweke hom kwkwako,?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.