Nitakupa jibu bila tatizo,nauza ili nipate pesa ya kukombolea mzigo TRA,ukiwa na swali zaidi usisite kuuliza,karibu!Haha na wewe tupe sababu za kuuza,maake nawe ndio neno lako la kwanza mdau akitangaza kuuza kitu chake kama ulivyomtaka aliyetangaza kuuza guest house wa Tabata Kimanga,na sasa nawe tunataka mrejesho wa kwanini unauza hizo photocopy
Oop samahani mkuu ni used from nje,Mkuu what do you mean hazijatumika.., kwenye hio picha hazionekani kama ni brand new, zimeshatoa copy ngapi na zipo mkoa gani, na bei ni kuanzia kiasi gani
Oop samahani mkuu ni used from nje,