Unapenda sana picha sasa mambo ya picha anaweza kj kwakua mnakutana nae muulize mambo ya picha. Wakat wa nyerere tambua kwamba hata maduka yalikua yanatambuliwa na serekali ndo maana sukari ilipatikana kwa foleni. Wewe mbona kama unafikir kwakutumia sehem ya nyuma?
Linganisha wakat wa Ben mkate, sukari, unga, na hata nyama bei yake ilikua shilingi ngapi kwa awamu zake zote. Kama kuuza kj wachina hajawauzia nchi au mpaka uhamishwe? Kigamboni wameshaanza kuhamishwa kwa taarifa yako kama ulikua hujui chukua hiyo. Angalia mbali usiangalie buku7 za leo bila...
Ben ndio rais atakaekumbukwa daima. Katika chama cha magamba yule aliweza kuitangaz na kuiweka nchi katika heshma. Hawez kwenda kukaa na wajinga maana kawawekea mazingira mazuri ya uchumi matokeo yake ni kuchezea pesa kutalii
Mnaenda kuchukua buku7 zenu? Maana hapo ndo mnapoweza kuingia kwa wingi zaidi. Watu badala yakufanya kazi mnaenda kunengua viuno mbele ya msanii mwenzenu
Pamoja na kuandaliwa spich alipaswa aongezena akiki yake. Huwezi kumteua mtu kufanya kazi halafu ukapingana na matokeo ya kazi yake. Ameonyesha udhaifu mkubwa sana na badala yake alipaswa kumpongeza Sinde kwa kazi aliyofanya.
Bus la delux lilitaka kupita malori na likakutana uso kwa uso na lori jingine ikabidi kupeleka bus pemben ndipo likalala kwenye mtaro. Kwa mujibu wa kaim kamanda wa pwani bint mmoja amefariki papo hapo na majeruhi wamepelekwa tumbi. Chanzo itv
Binti wa miaka 9 amefariki baada ya bus la delux kupinduka likitaka kupita malori na kushindwa kumudu gari likalala mtaroni. Dereva amekimbia na kondakta wake. Bus linatokea iringa kwenda dar