Pole mkuu na mm nilikumbana na kisa kama chako.
Niliachwa baada ya mwezi akarudi kuomba msamaha, swali la kwanza akauliza kwani ww utafanya nn baadae (sasa n mwanachuo). Na mm nikamwambia hatutawezani papo kwa papo.
Siku hz n wavivu sana
Aisee n vile ww n islamic imagine hayo yanatokea kwa Christian kama mm.
Umekosea kuoa, muache huyo dada hakuna uEX, utaishi maisha ya kulambwa kisogo hadi nywele ziwe nyeupe na mbaya zaidi hutaambiwa
Kisa
" tusije vunja ndoa yao "
LOVE MUST BE TOUGH
Academically
Architect huwa wana kitu kinaitwa concept, si ajabu huyo mbunifu alimtumia nyoka kama concept tu na s swala lingine. Kama n hivyo basi n lazima jengo liwe la mtindo huo ili liendane sawa na hio concept.
Spiritually
Inawezekana kuna kitu kimefichwa nyuma ya huo muundo wa jengo...
Mgonjwa kugeukia ukutani kukataa kuonana na watu n dalili mojawapo
Mtu akiwa anaumwa akaanza ita watu kwa wingi wamuone na hata kugawa baadhi ya nguo na hii n dalili
Mgonjwa kupona ghafla na kudai aina fulani ya chakula na kupiga stry nyingi sana na hii n dalili
Vizuri sana broo sasa fanya mazoezi na tafuta demu hata malaya tuu ili kwanza ujenge confidence kabla ya kupata yule unayempenda
Note
Malaya n hatari kwa afya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.