heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,746
- 8,681
Wakuu
Naomba nisamaraizi
Nilioa mwaka jana kutokana na shinikizo la wazazi, nilikua na wasichana wawili ambao niliwatambulisha kwa wazazi
Mmoja alikua ni jirani yetu alikua anajulikana tabia zake na wazazi, huyu nikakataliwa nisimwoe ila ALIKUA NA MIMBA YANGU,
Ikabid nioe huyu wa pili nae alikua na ujauzito ambayo kwa asilimia zote niliamini ni ujauzito niliompa mimi.
Ndoa ikafungwa ya kiislamu maisha ya ndoa tukayaanza huku mimba inazidi kukua ya mke wangu, yule msichana wa kwanza akajifungua salama mwezi uliopita.
Sasa juzi nikapokea simu niliezungumza naye ni jamaa anadai huyu mke wangu hiii mimba aliyonayo ye jamaa ndo kampa na anachotaka ni huyo mtoto akizaliwa apewe
Nikamuuliza mke wangu ikabidi anambie uyo ni ex wake na walishaachana muda,
Sasa najiuliza jee hii mimba nisubiri ajifungue nione au majaribu tu?
Naomba nisamaraizi
Nilioa mwaka jana kutokana na shinikizo la wazazi, nilikua na wasichana wawili ambao niliwatambulisha kwa wazazi
Mmoja alikua ni jirani yetu alikua anajulikana tabia zake na wazazi, huyu nikakataliwa nisimwoe ila ALIKUA NA MIMBA YANGU,
Ikabid nioe huyu wa pili nae alikua na ujauzito ambayo kwa asilimia zote niliamini ni ujauzito niliompa mimi.
Ndoa ikafungwa ya kiislamu maisha ya ndoa tukayaanza huku mimba inazidi kukua ya mke wangu, yule msichana wa kwanza akajifungua salama mwezi uliopita.
Sasa juzi nikapokea simu niliezungumza naye ni jamaa anadai huyu mke wangu hiii mimba aliyonayo ye jamaa ndo kampa na anachotaka ni huyo mtoto akizaliwa apewe
Nikamuuliza mke wangu ikabidi anambie uyo ni ex wake na walishaachana muda,
Sasa najiuliza jee hii mimba nisubiri ajifungue nione au majaribu tu?