Ni mwaka wa kidini/kikristo. Ndio maana huwa kuna kukesha kiibada kanisani. Ila sijajua kama ibada hii ni ya kuzusha au hata Yesu mwenyewe aliwahi kuifanya/kuhimiza ifanyike.
Hivi kwann baadhi ya watangazaji wa radio hupenda kutumia neno 'baby' ktk vipindi vyao?
Mfano mzuri ni kwa watangazaji wa kipindi cha XXL cha cloudsfm. Hasa Adamu mchomvu na B dozen. Utasikia wanasema ''endelea ku'tune in' the people's station XXL cloudsfm 'baby' enjoy".
Nauliza, hivi huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.