chakii
Unaweza kuwa na hoja nzuri lakini uwasilishaji wake usiwe sahihi Wasira anazungumzia rushwa lakini mtu anayesafiri kwa ndege au herikopta si lazima awe mla rushwa.Huo ni wivu wa kike.
Sikubaliani nawe Lowasa hayuko tena CCM anachofanya ni kumwaga mboga tu ili wakose wote kumbuka majibu aliyowajibu Nape na Mangula kuwa hata iweje kupitia CCM au chini ya mti yeye ni Rais tu. Utamwita CCM hiyo?!
Nawewe unavyowaaminisha Watanzania nikuwapotosha maamuzi ya nani atutawale yako mikononi mwetu bila kujali chama na si kweli kuwa hatuwezi kuwang'oa hao CCM wako. Subiri muda utasema mbelile mwenyewe!
Asituchanganye siasa na dini wapi na wapi wakisema wengine. waambiwa kasemeni kwa waumini wenu
Huyu hana lolote nimchochezi tu watu wametoa mawazo yao na yaheshimiwe Tanganyika kwanza mambo mengine baadaye
Mimi sishangai na taarifa hii kwani matukio ya mauaji ya raia ndani ya nchi yao yanatisha.Kila kukicha mara waandishi mara wakulima na wafugaji mara operation tokomeza mara madawa ya kulevya ili mradi hovyo kila kitu. Tuendeleeni tu na huo wimbo wetu huku takwimu zikisoma tofauti kwani tunakosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.