Recent content by Manjogote

  1. M

    Kweli pesa tamu, Gazeti la Raia Mwema siamini kama mmeiacha njia Kuu, mnasikitisha sana

    Mau Mau Wenye macho tumekwisha liona siku nyingi hatuwezi kuchaguliwa viongozi na vyombo vya habari
  2. M

    Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

    Hongera kwa hotuba ya M/kiti wako ya mipasho eti kidumu chama cha mapinduzi bungeni?!
  3. M

    Wassira: CCM Ikisimamisha Mla Rushwa Itapoteza Dola

    chakii Unaweza kuwa na hoja nzuri lakini uwasilishaji wake usiwe sahihi Wasira anazungumzia rushwa lakini mtu anayesafiri kwa ndege au herikopta si lazima awe mla rushwa.Huo ni wivu wa kike.
  4. M

    Kikwete: Tusiwasikilize wanasiasa wanaowagawa Watanzania na kutumia fedha kutafuta madaraka...

    Mbona matusi badala ya kutoa hoja kumtetea huyo zezeta wako hata macho huna
  5. M

    ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake

    yetu macho hata pa kuanzia sipaoni
  6. M

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    waandishi wa habari tayari wapo katika ukumbi wa mikutano Ikulu
  7. M

    Mkutano na wanahabari Ikulu wasogezwa hadi saa 8 mchana!

    Tayari kikao kimeanza tune TBC1
  8. M

    Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

    lakini ndiyo mabingwa na ligi kwanza ndiyo inaanza
  9. M

    Lowassa mtaji wa CCM na upinzani

    Sikubaliani nawe Lowasa hayuko tena CCM anachofanya ni kumwaga mboga tu ili wakose wote kumbuka majibu aliyowajibu Nape na Mangula kuwa hata iweje kupitia CCM au chini ya mti yeye ni Rais tu. Utamwita CCM hiyo?!
  10. M

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    Nawewe unavyowaaminisha Watanzania nikuwapotosha maamuzi ya nani atutawale yako mikononi mwetu bila kujali chama na si kweli kuwa hatuwezi kuwang'oa hao CCM wako. Subiri muda utasema mbelile mwenyewe!
  11. M

    Kardinali Polycarp Pengo ahofu Serikali Tatu zitavunja muungano!

    Asituchanganye siasa na dini wapi na wapi wakisema wengine. waambiwa kasemeni kwa waumini wenu Huyu hana lolote nimchochezi tu watu wametoa mawazo yao na yaheshimiwe Tanganyika kwanza mambo mengine baadaye
  12. M

    hapa yalikuwepo mapenzi kweli!!!!!!!!

    Unambania nani wakati huwa unagawa tu kwa wengine
  13. M

    Tanzania yang'ara kwa Amani! Ya kwanza East Africa...

    Mimi sishangai na taarifa hii kwani matukio ya mauaji ya raia ndani ya nchi yao yanatisha.Kila kukicha mara waandishi mara wakulima na wafugaji mara operation tokomeza mara madawa ya kulevya ili mradi hovyo kila kitu. Tuendeleeni tu na huo wimbo wetu huku takwimu zikisoma tofauti kwani tunakosa...
Back
Top Bottom