Naona una wazo lakini unachanganya mambo na hiyo inawezekana kwasababu haukifahamu unachotaka kukiandika. Fanya kwanza tafiti ili ukifahamu vizuri kile unachotaka kukipresent
Tofauti na kufanya vipimo, Kumjua mgonjwa mwenye shida ya figo unahitaji kuangalia/ kuzingatia vitu vingi zaidi ya movements za chooni wakati wa kunywa bia. Sasa kwa namna ulivyoiweka manake huyo mtu bado yuko fit kwa muonekano. So, in the early stages of kidney damage, mtu husika ata visit...
Mtu mmoja mwenye busara sana aliwahi kuniambia kama aliyemzalisha hajafa basi Fahamu kwamba wazazi hawaachani kamwe, kwa pamoja walishaifanya kazi ya Mungu ya uumbaji. so me nasema wanaweza kupotezeana kwa muda lakini yeyote Kati yao akiamua kuliamsha kupasha kiporo, kinapashika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.