Mmhh hapa mbona watabaki wachache uraiani. Kuna baadhi ya wafanyakazi tutawakosa hapa mfano nchi itabaki bila Wanajeshi , Polisi , madreva bodaboda. Yaani robotatu ya wananchi watakuwa lupango wakitumikia hiyo 30
Maajabu kweli haya . Mnavunjaje ndoa ya watu. Walipotongozana , wakapendana, wakakubaliana wakaonjeshana mlikuwepo?. Sema walifuata mtazamo wa jamii, kwenda msikitini. Kumbukeni ndoa ni makubaliano ya watu wawili kuishi pamoja kama mke na mume na kuujulisha umma uwatambue hivyo na si vinginevyo...
Bora kupoteza kundi kubwa la wafuasi wake kuliko kuufinyanga ukweli, Nchi hii haijawahi kupata raisi asiye na upeo na asiyejitambua, mnafiki, mwongo kama mwendazake. Mungu aliona akimruhusu kwa muda wa nyongeza tutaangamia akamvuna na sasa unaona Mama anavyoipaisha nchi juu.
Mama Samia...
Mimi ni mpenzi wa muda mrefu wa vipindi mbalimbali vya CMG. Kabla ya kuondoka kwa Ruge ninafahamu uzuri na ubora wa vipindi CMG ulikuaje na sasa hali ikoje. Kiukweli CMG IMEDORORA!
Haina tena vile vipindi vya amshaamsha ambavyo wapenzi wengi walipenda, mfano asubuhi unapoenda kazini ilikua...
Nimefurahi kuona TBC walivyofanya uamuzi wa kwenda Uganda kujifunza namna ya uandaaji wa vipindi vya TV na urushaji wa matangazo. Kongole kwao.
Kwa kweli ilifika mahali watanzania walio wengi hawapendi kuangalia televisheni za humu ndani kutokana na kukosa ubora wa vipindi, kukosa maudhui...
Wewe ndo umekuwa msemaji wa watumishi, pambafu!!!!!. Nani amkumbuke mbaguzi mkubwa yule. Raisi wa Chato. Umemsikia GENERALI alivyoongea juzi UDSM. Raisi hatakiwi kuelekeza kila kitu kwao. raisi wa namna hiyo hafai. no wonder yametokea yaliyotokea. Watumishi ni waelewa sana wanajua mwisho wa...
Huyu nae ndumilakuwili mchumia tumbo, mbona hashangai Wabunge na maspika kulipwa mshahara mkubwa kuliko walimu. Kuna anaezidi kazi ya mwalimu? Hawa ndo walistahili mshahara mnono, lakini kwa Tanzania hizo ni ndoto
Hee !! . Nilidhani Huyu bwana Mpanju ni mwanasheria kumbe sio?. Hajui kuwa mambo mengi ya sheria yanahusu HAKI ZA MSINGI ZA RAIA. Ukiongelea haki Tanzania unaonekana mwanaharakati
Wizi mtupu!!!!. Nchi alishaigawa vipandevipande. Wewe sijui unaishi wapi, inawezekana kanda ya ziwa au Dar. Humu nchini kuna maeneo unayoyaongea hawayajui, hali kwao imezidi kuwa mbaya, umeme umezidi kukatika,ujambazi umezidi. Kilichopungua ni kutangazwa kwa mambo mabaya kwa sababu vyombo...
Nakusalimia kwa salamu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hongera sana kwa kazi mama yetu, Mama Samia Suluhu Hassan. Watanzania sasa tumekuelewa vizuri na tuko pamoja na wewe. Mabadiliko uliyoyafanya ndani ya muda mfupi yanaonesha kweli ulikuwa karibu na mtangulizi wako na ulielewa alichokuwa...
The country was in a 'state of captivity'. Yaani hakuna aliyekuwa anafanya kazi, wala kutumia akili zake. Kila kitu utasikia Magufuli ametuletea bilioni kadhaa.... , Magufuli amejenga ...., Magufuli,magufuli ,magufuli. Maana yake alikua anaongoza peke yake, wengine walikua hawafanyi chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.