Ayoub Ryoba nishakaa naye sana kwenye viti virefu enzi kabla hajawa TBC, ni mwanamageuzi mzuri mno - ni mtu anayesimamia haki - nafikiri ni upepo tu ulimpitia lakini huyu namuombea msahamaha kwenye hii list yako.Mama Samia Suluhu Hassan jitenge kabisa na hawa watu
Polepole
Cyprian Musiba
Bashiru Ally
Makonda
Ayoub Ryoba - Mkurugenzi wa TBC