Hahaahaha
nasaka mke wanguuu
nasaka mke wanguu
hapa hayupo
hapa hayupo
kaenda wapi
kaenda wapi
kaenda kusuka kaenda kusuka
kwa binti nani kwa binti nani
kwa binti juma kwa binti juma
Huu mti gani(Wa mchongoma)
Nikiukata(haukatiki)
Hata kwa panga(haukatiki)
Hata kwa shoka(haukatiki)...
Nanananana nanaa
nana ingia kati nana
ujiremberembe ujikunekune
mchezo wa solo
okota maganda peleka
ulaya yamepanda bei
sukuma waaaaaaaaaaaa[emoji23][emoji23]
Tako moja kaungua,kaunguaaaaaa
kama karatasi pepeaaaa
kama nailoni yeyukaaaa
kama ni mpira dundikaaaaa
haunitishitishi ule mpango
vipi tuliopanga juzi
kule kichochoroniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.