Acha walimishwe mpk serikali itakapoona thamani ya walim hata ww inaoneka hukusomea ualim km ungesomea pia ungewafanyisha kazi hizi. Hakuna anachopata mwalm zaidi ya kujishughulisha na kilimo kwa kijjn na mjn vbiashara vya hapa na pale. Nguvu kazi ndio wanafunzi maana hela ya kuweka vbarua hana...
Pa1 na hivyo ila bado hali si shwari sana 3.0 dip si mchezo then form six wengi kwa kipindi hiki pia nao hawajafika hizo cutting points 4...so wawe fair kotekote.
vp wadau. kwa mwl yeyote secondari anaetaka kuhamia Tukuyu Mbeya mi nije Dar ani pm. shule ipo pazuri. sababu kuu ya mm kuhama ni kumfuata wife
mwambie aje huko muishi wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.