Recent content by Mangusha1040

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ma brother wa miaka 35+ hebu tupeni wadogo zenu, ushauri wowote wa kuhusu maisha

    1. Usioe bila kuwa na uhakika wa Pesa ya kumlisha mkeo 2. Tafuta sana pesa kadri uwezavyo. Dunia haina huruma kwa maskini. Na uta heshimiwa kwa mali/pesa unazomiliki 3. Kuwa na kiasi kwenye maisha yako 4. Ukimwi upo na unaua. 5. Usiamini sana watu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Gari zuri

    Nataka gari sio kulia lia soma post vizuri uelewe na sio gari langu la kwanza wala la pili. Ila nataka kubadilisha ladha. Kama huna cha kuchangia kama kimya
  3. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Gari zuri

    nataka gari la juu mkuu hizo saloon nimezichoka. Japo premio ni gari nzuri sana
  4. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Gari zuri

    ni used from japan
  5. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Gari zuri

    Habari za leo wanajamvi Naombeni ushauri wenu juu ya uchaguzi wa gari. Ushauri uangalie vitu kama 1. Unywaji wa mafuta ( naendesha km 5o kwa siku) 2. Upatikanaji wa vifaa 3. Ubora na kudumu kwa gari kwa kuzingatia mazingira ya barabara zetu Ni lipi gari zuri kati ya hizi 1. Subaru XT 2. Suzuki...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

    maisha ya mwanadamu ni mnyanduano tu. Mali na pesa vyote ni ubatili
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Huyo sio mchepu ni malaya pro max. Kumbukeni kupima kabla hamjafanya
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Watu wanatoka mbande mpk dodoma mjini kwa toyo sembuse hapo mtumba tu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nini kimejificha kwenye Uteuzi wa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu? Nini maana yake kihistoria na upi mwelekeo wa Nchi baada ya Uteuzi huu?

    Ulianza kwa kuponda vijana wa sasa hawajui historia na wanashinda mitandaoni tu nikajua utakuja na hizo sababu za kuteuliwa kwa Dotto Biteko sasa kumbe we mwenyewe hujui na bado unajiuliza maswali tu. Ungeweza kutoa findings zako na maoni yako bila kuwasema vijana wa sasa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Pump ya mafuta

    Wanasema mafuta ya sikuhizi ni machafu pia. Lakini kuweka mafuta kiduchu ndio chanzo kikubwa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nimenunua home theater LHD657 Model, lakini cha ajabu ina Sauti ya kawaida sana

    Wengi wao hawazijui coz kupatikana ni ishu lakini trust me ukiipata Edfier umepata kila kitu unachokiitaji kwny mziki na movie. Hii niliyonayo inazaidi ya miaka 8 na mziki wake ni uleulee
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nimenunua home theater LHD657 Model, lakini cha ajabu ina Sauti ya kawaida sana

    Me natumia edifier. Hii kitu ni zaidi ya speaker. Haziharibiki wala hazichuji mziki wake ni balaa
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Kwa tulio dar es salaam bana kuna sehemu ambayo kama una usafiri unaweza ukashawishika kula mbususu kwenye maeneo hatarishi likiwemo eneo la maegesho la magari la mlimani city. Kwa tuliowahi kula sehemu hiyo tukutane hapa na ilikuwaje
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

    Hongera sana kaka. Kuongea na mzazi ni jambo muhimu sana hasa ukiwa nao. Real appreciate bro
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kumekucha
Back
Top Bottom